Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah yaani mpaka hua nakosa nguvu ya kuingia huku.... Nakumbuka kipindi tuna tevez Cr7 nani&Rooney(inform) berba9 ch14 sch18 giggs as our attacking force..... Mpaka sa ivi kina lingard,mata as a no7,depay(bad form),Rooney(past it) dah kweli mambo yanabadilika.. Team lacks quality na manager nutcase.. Must win match vs wolfs unachezesha ma teenager kibao. Powell ahead of young(who kept out a 60M pounds player the previous season) unakua unawaza nin???? Sa ivi hatuna ata uhakika wa kuifunga team yoyote... Kinachosaidia sa hivi is that all top teams have been shit as well!!!!
 
[h=1]Manchester United have released better players than those starting at Bournemouth, says Paul Merson[/h]ive players released by Louis van Gaal would have walked into the Manchester United XI which lost at Bournemouth, says Paul Merson. The United boss has spent ?250m on new players and allowed a number of big-name stars to leave Old Trafford since taking over from David Moyes in 2014.
United remain fourth in the Premier League but, six points off leaders Leicester and out of the Champions League at the group stage, United should be doing better says Merson.

man-utd-team-lineup_3388947.jpg


Manchester United have released better players than those starting at Bournemouth, says Paul Merson | Football News | Sky Sports
 
I still believe in LVG jamaa anajua anachofanya na naungana na marc overmars kuwa hizi kelele zote ni hate tu juu ya LVG na mashabiki wa man tunaingia mazima kukubali.

Sasa hivi timu ipo katika kipindi kigumu na mambo haya hutokea. Nimeangalia man u tukitolewa na benefica, tumetolewa na fc basel pia, kipindi kile kungekua na internet wengi wangesema fergie afukuzwe.

Timu haipo nafasi mbaya tunaweza hata kuwa wa kwanza kabla ya january kama tutaitumia vizuri desemba. Na mechi za karibuni ni majeruhi tu na bahati mbaya ndio maana tumepoteza,

Msisahau huyu ndio kocha aliewafundisha makocha kama guardiola, luis enrique, mourinho na de boer

Amewatoa academy wachezaji kama xavi, kroos, muller, iniesta, edgar davids, nwanko kanu na seedorf.

Hawa watoto tunaowadharau leo kina varela, perreira na wengineo miaka ijayo tutamshukuru LVG sababu jamaa anajua kuibua mastaa.

Man utd si kama timu ndogo kufukuza ovyo makocha. Kocha anapewa task afanye akishindwa ndio anafukuzwa tumpeni muda lvg hadi mwisho wa msimu akishindwa kutimiza ndio tulalamike ila huu si muda wa kulalamika sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida.

Lets hope january tunapata hata striker mmoja.

Ggmu
 
I still believe in LVG jamaa anajua anachofanya na naungana na marc overmars kuwa hizi kelele zote ni hate tu juu ya LVG na mashabiki wa man tunaingia mazima kukubali.

Sasa hivi timu ipo katika kipindi kigumu na mambo haya hutokea. Nimeangalia man u tukitolewa na benefica, tumetolewa na fc basel pia, kipindi kile kungekua na internet wengi wangesema fergie afukuzwe.

Timu haipo nafasi mbaya tunaweza hata kuwa wa kwanza kabla ya january kama tutaitumia vizuri desemba. Na mechi za karibuni ni majeruhi tu na bahati mbaya ndio maana tumepoteza,

Msisahau huyu ndio kocha aliewafundisha makocha kama guardiola, luis enrique, mourinho na de boer

Amewatoa academy wachezaji kama xavi, kroos, muller, iniesta, edgar davids, nwanko kanu na seedorf.

Hawa watoto tunaowadharau leo kina varela, perreira na wengineo miaka ijayo tutamshukuru LVG sababu jamaa anajua kuibua mastaa.

Man utd si kama timu ndogo kufukuza ovyo makocha. Kocha anapewa task afanye akishindwa ndio anafukuzwa tumpeni muda lvg hadi mwisho wa msimu akishindwa kutimiza ndio tulalamike ila huu si muda wa kulalamika sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida.

Lets hope january tunapata hata striker mmoja.

Ggmu
Pamoja na archivement zake zote.hizo ulizozitaja....stastics zinaonyesha lvg philosophy inaua timu yetu taratibu..
Mimi namkubali huyu jamaa lakini kwa huku anapokwenda sipo mkuu...
Mfano mzuri ni chelsea timu ambayo imechukua PL msimu uliopita kwa kufungwa only 3 games...lakini msimu huu wameshafungwa games tisa katika games 16 unataka kusema tatizo ni wachezaji au Kocha na kama tatizo ni kocha kwanini ashindwe kutumia tactics zilizomfanya kuchukua makombe mawili last season kuturn thing around...
Je utaka kuamini ni kweli wachezaji wanamsaliti kweli au hana tactics ambazo zinaweza kuokoa jahazi linalozama ?
Man u aliyoikuta ya Babu na Moyes ameiuza karibia yote na kuleta yake lakini still tumekuwa wabaya...
sitaki kuamini anahitaji labda 10 years ili tuwe bora tena na spending aliyokwishafanya...
 
Pamoja na archivement zake zote.hizo ulizozitaja....stastics zinaonyesha lvg philosophy inaua timu yetu taratibu..
Mimi namkubali huyu jamaa lakini kwa huku anapokwenda sipo mkuu...
Mfano mzuri ni chelsea timu ambayo imechukua PL msimu uliopita kwa kufungwa only 3 games...lakini msimu huu wameshafungwa games tisa katika games 16 unataka kusema tatizo ni wachezaji au Kocha na kama tatizo ni kocha kwanini ashindwe kutumia tactics zilizomfanya kuchukua makombe mawili last season kuturn thing around...
Je utaka kuamini ni kweli wachezaji wanamsaliti kweli au hana tactics ambazo zinaweza kuokoa jahazi linalozama ?
Man u aliyoikuta ya Babu na Moyes ameiuza karibia yote na kuleta yake lakini still tumekuwa wabaya...
sitaki kuamini anahitaji labda 10 years ili tuwe bora tena na spending aliyokwishafanya...

msimu uliopita lvg aliambiwa timu inatakiwa iwe top 4 na akatufikisha.

na ndani ya miaka hii miwili aliyobakiza anatakiwa achukue kombe na msimu huu minimum amalize top 3.

hivyo tunatakiwa tumjudge kwa hayo. asipotupeleka uefa hata mimi nitaunga mkono atimuliwe ila sasa ni mapema mno kuanza kufikiria hayo.

timu yetu sasa hivi tukipata beki kiongozi kucheza na smalling na forward wa kucheza na martial timu imekamilika.

mimi bado namkubali jamaa na nitampa hadi mwisho wa msimu kuwaprove watu wrong
 
msimu uliopita lvg aliambiwa timu inatakiwa iwe top 4 na akatufikisha.

na ndani ya miaka hii miwili aliyobakiza anatakiwa achukue kombe na msimu huu minimum amalize top 3.

hivyo tunatakiwa tumjudge kwa hayo. asipotupeleka uefa hata mimi nitaunga mkono atimuliwe ila sasa ni mapema mno kuanza kufikiria hayo.

timu yetu sasa hivi tukipata beki kiongozi kucheza na smalling na forward wa kucheza na martial timu imekamilika.

mimi bado namkubali jamaa na nitampa hadi mwisho wa msimu kuwaprove watu wrong

Msimu huu asipochukua ubingwa hana kisingizio,hela ya usajili alipewa ya kutosha na timu pinzani zina matatizo lakini tunashindwa kutake advantage
 
Msimu huu asipochukua ubingwa hana kisingizio,hela ya usajili alipewa ya kutosha na timu pinzani zina matatizo lakini tunashindwa kutake advantage

issue za usajili zipo overated sana. net spending ya man u sio kubwa sana na mtu kama di maria peke yake amekua responsible kwa zaidi ya pound milioni 100, 60 za kuja na 40 za kuondokea.

msimu huu net spending ya man u ni pound milioni 43. kwa kulinganisha tu watford ni 32m na newcastle ni 42m.

hivyo unaweza ukasema man u kaspend kama newcastle. huwezi compare na watu kama city waliotumia zaidi ya 100m

wanachofanya vyombo vya habari wanatangaza waliokuja tu bila kutangaza walioondoka. still timu yetu bado sana na lvg hajatumia hela nyingi ndio maana bodi imempa 200m ili aspend january na ligi ikiisha.
 
I still believe in LVG jamaa anajua anachofanya na naungana na marc overmars kuwa hizi kelele zote ni hate tu juu ya LVG na mashabiki wa man tunaingia mazima kukubali.

Sasa hivi timu ipo katika kipindi kigumu na mambo haya hutokea. Nimeangalia man u tukitolewa na benefica, tumetolewa na fc basel pia, kipindi kile kungekua na internet wengi wangesema fergie afukuzwe.

Timu haipo nafasi mbaya tunaweza hata kuwa wa kwanza kabla ya january kama tutaitumia vizuri desemba. Na mechi za karibuni ni majeruhi tu na bahati mbaya ndio maana tumepoteza,

Msisahau huyu ndio kocha aliewafundisha makocha kama guardiola, luis enrique, mourinho na de boer

Amewatoa academy wachezaji kama xavi, kroos, muller, iniesta, edgar davids, nwanko kanu na seedorf.

Hawa watoto tunaowadharau leo kina varela, perreira na wengineo miaka ijayo tutamshukuru LVG sababu jamaa anajua kuibua mastaa.

Man utd si kama timu ndogo kufukuza ovyo makocha. Kocha anapewa task afanye akishindwa ndio anafukuzwa tPowell
muda lvg hadi mwisho wa msimu akishindwa kutimiza ndio tulalamike ila huu si muda wa kulalamika sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida.

Lets hope january tunapata hata striker mmoja.

Ggmu

Mkuu van gaal naweza kusema kinacho mbeba kwa sasa ni historia na sio uwezo, Huyu mzee kila kila sehemu anapoenda lazima atokee mchezaji ambae atazinguana nae, lakini kwetu imekua too much, jaribu kuangalia kuanzia RvP, Rafael, cleverly (juzi kafunguka), chicharito, wote jinsi wanapoondoka lazima wafunguke kwamba tatzo ni van gaal, kagombana na rojo, valdes, pia kuna tetesi kwamba Herrera nae hana furaha pale ot, hyo ni kwa upande wa wachezaji,

Msimu uliopita tuliingia top four sababu livapuli nae hakuwa vizuri ( kumbuka mwishoni tulivopoteza point ilikua ni rahisi sana liva Ku take advantage)

Makosa mengine niliyo yaona kwa van gaal toka amefika

1: kukomaa na mfumo wa 3-5-2 msimu uliopita wakati ilikua wazi hauna matunda kwa ligi ya England, ikapelekea kupoteza point nyingi mwanzoni mwa msimu, hadi kupigwa tano na Leicester wakati tulikua tunaongoza tatu moja.

2: kumtumia sana Rooney kama mid na namba kumi ( hasa kwa msimu uliopita)

3: kutuaminisha kwamba Rooney anaweza kufunga goli 20+ kwa msimu huu wakati ye mwenyewe alimuaharibu msimu uliopita.

4: kuna baadhi ya mechi alimchezesha di maria kama striker

5: kumuuza RvP, chicha na Wilson kumpeleka kwa mkopo huku akituachia Rooney na martial kama striker pekee tulionao

6: kutosajili winga ya kulia, CB, richa ya kwamba alipewa fungu la kutosha

7: kumchezesha Bastian na carrick mechi na arsenal huku akiwaacha Herrera na Morgan nje.

8: sub zake ndio zinaniua kabisaaaa, unamtoa mata unamuingiza Powell

9: eti fellain ndio m-badilisha matokeo wetu

10: possession, possession, possession, possession mwisho wa Siku matokeo ni 0-0
 
Mwenzenu nipo nipo tu sijielewi na huyu LVG kwamba nampenda au simpendi? Ila kuna mambo totally yanachosha na hayavumiliki kama hayo herrera aliyoainisha.
 
Last edited by a moderator:
Wacheni kulialia Morinyo hana kazi mchukueni. khe khe khe khe keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mwenzenu nipo nipo tu sijielewi na huyu LVG kwamba nampenda au simpendi? Ila kuna mambo totally yanachosha na hayavumiliki kama hayo herrera aliyoainisha.

sister huyu mzee huwa anazingua kinoma, alafu ana majibu flani ya kumuudhi mtu, Mwaka 2014 alitumia ?135.52 aliuza ?33.87 net spend ilikua ?101.65

Mwaka 2015 alitumia ?97.65 aliuza ?69.63 net spend ilikua 28, ukijumlisha pesa iliyotoka (net) utapata karibia ?130 ( approximately) kilichotokea sasa:

1: msimu uliipita tulitolewa nje kwenye C1C na mk dons, timu daraja la ngapiii sijui huko

2: tulitolewa nje kwenye FA cup na arsenal pale pale OT

3: Tulifika top four sababu liva na spurs walikua wanazingua

4: tumetolewa uefa kwenye kundi ambalo nahisi ndio lilikua rahisi kuliko yote, kumbuka moyes alimnunua fellain pekee lakini alitufikisha robo final

5: droo ndio nyingi kuliko ushindi

6: tumeshatolewa tayari kwenye C1C na timu daraja la kwanza.

Ila nitamchukua moureen kuliko Wenger nikiambiwa nichague
 
Last edited by a moderator:
sister huyu mzee huwa anazingua kinoma, alafu ana majibu flani ya kumuudhi mtu, Mwaka 2014 alitumia ?135.52 aliuza ?33.87 net spend ilikua ?101.65

Mwaka 2015 alitumia ?97.65 aliuza ?69.63 net spend ilikua 28, ukijumlisha pesa iliyotoka (net) utapata karibia ?130 ( approximately) kilichotokea sasa:

1: msimu uliipita tulitolewa nje kwenye C1C na mk dons, timu daraja la ngapiii sijui huko

2: tulitolewa nje kwenye FA cup na arsenal pale pale OT

3: Tulifika top four sababu liva na spurs walikua wanazingua

4: tumetolewa uefa kwenye kundi ambalo nahisi ndio lilikua rahisi kuliko yote, kumbuka moyes alimnunua fellain pekee lakini alitufikisha robo final

5: droo ndio nyingi kuliko ushindi

6: tumeshatolewa tayari kwenye C1C na timu daraja la kwanza.

Ila nitamchukua moureen kuliko Wenger nikiambiwa nichague

Acha tu inaumaaa inabidi hatua zichukuliwe immediately?...lakini nani wa kumrithi?
 
sister huyu mzee huwa anazingua kinoma, alafu ana majibu flani ya kumuudhi mtu, Mwaka 2014 alitumia ?135.52 aliuza ?33.87 net spend ilikua ?101.65

Mwaka 2015 alitumia ?97.65 aliuza ?69.63 net spend ilikua 28, ukijumlisha pesa iliyotoka (net) utapata karibia ?130 ( approximately) kilichotokea sasa:

1: msimu uliipita tulitolewa nje kwenye C1C na mk dons, timu daraja la ngapiii sijui huko

2: tulitolewa nje kwenye FA cup na arsenal pale pale OT

3: Tulifika top four sababu liva na spurs walikua wanazingua

4: tumetolewa uefa kwenye kundi ambalo nahisi ndio lilikua rahisi kuliko yote, kumbuka moyes alimnunua fellain pekee lakini alitufikisha robo final

5: droo ndio nyingi kuliko ushindi

6: tumeshatolewa tayari kwenye C1C na timu daraja la kwanza.

Ila nitamchukua moureen kuliko Wenger nikiambiwa nichague

van gaal kosa alilolifanya ni kuwa na kikosi kidogo na namtetea kabisa kwamba amespend hela nyingi hebu cheki hii list

1.Evra
2.Ferdinand
3.vidic
4.evans
5.Rafael
6.Fletcher
7.Cleverly
8.Anderson
9.Chicha
10.Rvp
11.Giggs

inahitaji sh ngap kureplace watu hao? without a doubt ni zaidi ya hio 130 ila LVG amejitahidi atleast ameziba baadhi ya mapengo na watoto.

bado tunatakiwa kusajili january na baada ya EURO
 
Mkuu van gaal naweza kusema kinacho mbeba kwa sasa ni historia na sio uwezo, Huyu mzee kila kila sehemu anapoenda lazima atokee mchezaji ambae atazinguana nae, lakini kwetu imekua too much, jaribu kuangalia kuanzia RvP, Rafael, cleverly (juzi kafunguka), chicharito, wote jinsi wanapoondoka lazima wafunguke kwamba tatzo ni van gaal, kagombana na rojo, valdes, pia kuna tetesi kwamba Herrera nae hana furaha pale ot, hyo ni kwa upande wa wachezaji,
fergie kagombana na Keane,van nistelrooy, beckham etc.

LVG kaletwa man u ili atoe watu waliochoka na kueka damu mpya kuitengeneza timu mpya na ukiangalia sasa hivi duniani sidhani kama kuna timu ina potential kama man u. nakumbuka man u na barcelona kipindi cha pilli ilikuwa ni show off kati ya watoto wa barca na man u na kina januzaj/wilson/lingard/perreira waliwakamata watoto wa barcelona na kuwafanya wawe average kabisa. ongeza watoto wengine kama depay, martial, shaw, mc nair etc. hio ndio kazi ya van gaal kueka foundation ili kocha mwengine wa kudumu akija akute kikosi kizuri.

Msimu uliopita tuliingia top four sababu livapuli nae hakuwa vizuri ( kumbuka mwishoni tulivopoteza point ilikua ni rahisi sana liva Ku take advantage)
kiwango cha round ya pili kilikuwa ni kikubwa usiseme hayo tu kumbuka tulitoa dozi mfululizo kwa timu kubwa tulianza na spurs 3-0 tukaja liver nae akala 2 akaja city nae akala 4 yote kafanya LVG haya na 4-1-4-1, tulianza kupoteza baada ya kuwa tushafuzu UEFA sababu tulivyompiga liver na man city tayari ilikuwa imposible liver kutukamata tulimuacha point kama 7

Makosa mengine niliyo yaona kwa van gaal toka amefika

1: kukomaa na mfumo wa 3-5-2 msimu uliopita wakati ilikua wazi hauna matunda kwa ligi ya England, ikapelekea kupoteza point nyingi mwanzoni mwa msimu, hadi kupigwa tano na Leicester wakati tulikua tunaongoza tatu moja.
una uhakika mechi na leicester tulitumia 3-5-2? mechi naikumbuka kabisa tulitumia 4-4-2 (4-1-2-1-2) aka diamond na ushahidi huu hapa
Starting Lineups - Leicester vs Man Utd | 21 Sep 2014

baada ya kufungwa ndio tukashift kwenda 3-5-2 tukacheza mechi 11 unbeaten tukiwapiga liver na arsenal humo ndani, japo ilikuwa na droo nyingi ila 3-5-2 ndio iliotumika hizo mechi 11

2: kumtumia sana Rooney kama mid na namba kumi ( hasa kwa msimu uliopita)

3: kutuaminisha kwamba Rooney anaweza kufunga goli 20+ kwa msimu huu wakati ye mwenyewe alimuaharibu msimu uliopita.
nakubaliana na wewe sina cha kusema

4: kuna baadhi ya mechi alimchezesha di maria kama striker
di maria toka mwanzo haipendi man u, huyu jamaa alikuja kwetu sababu ya FFP psg walikuwa hawawez mnunua hivyo akawa hana ujanja. sipendi kumuongelea sana ila mashabiki wengi wa man u wanamuita snake maria

5: kumuuza RvP, chicha na Wilson kumpeleka kwa mkopo huku akituachia Rooney na martial kama striker pekee tulionao

6: kutosajili winga ya kulia, CB, richa ya kwamba alipewa fungu la kutosha
chicha na rvp walifeli mfumo wa lvg wote tuliona mi kuondoka kwao naona sawa tu ila tulitakiwa tusajili na i hope january atasajili striker. kuhusu beki sidhani kama kuna beki anapatikana kirahisi na wanaopatikana viwango vyao ni vya kawaida.

angalia mangala na otamendi wale wote tuliambiwa tuwasajili na lvg akaachana nao na ukiangalia yupo sahihi wao ndio uchochoro asipokuwepo kompany na huwezi mlimgamisha mangala u otamendi na smalling. hivyo sometime kusajili tu sio solution ya matatizo. kama tunasajili beki basi awe beki kiongozi mtu kama Ramos au godin na sio bora kusajili tu.

7: kumchezesha Bastian na carrick mechi na arsenal huku akiwaacha Herrera na Morgan nje.
nakubaliana na wewe mechi zote 3 ya psg, arsenal na wolfsburg tumefungwa na hawa jamaa wameanza pamoja

8: sub zake ndio zinaniua kabisaaaa, unamtoa mata unamuingiza Powell
powell ni bonge la player japo mechi ya uefa ilikuwa ni kubwa kwake ila inatakiwa jamaa apewe game time, usisahau fergie alimsajili powell kama mrithi wa rooney ni majeruhi tu yamemrudisha nyuma. hope aanze mechi na norwich ili umuone vizuri, one day atakuwa ni star wetu.

9: eti fellain ndio m-badilisha matokeo wetu
msimu uliopita fellaini ndio katuleta uefa na mi natamani turudishe mfumo wetu wa 4-1-4-1 ambao umetengenezwa around fellaini. jamaa ni ngumu kumkaba japo pasi zake ovyo ila akichez atleast kunakuwa na mishe mishe za goli. na akicheza fellaini inamaana young atarudi kuwa winger sababu now hapangwi kutokana na depay/mata/rooney ni vi anduje hivyo cross za young hazina madhara sana.

fellaini ndio mchezaji pekee man u ambao timu pinzani wanafanya mazoezi ya kumkaba

10: possession, possession, possession, possession mwisho wa Siku matokeo ni 0-0
so far tumefanikiwa nyuma beki na katikati papo vizuri, ila ukiangalia mechi kama ya westham tumefanya attempt 21 na goli 0 hivyo sio possesion inayofanya tusifunge bali ni watu hawapo makini mbele na wanapoteza chance kijinga. kwa kifupi hatuna quality mbele tukipata striker mzuri mmoja au wawili tutakuwa tishio sana. just angalia mechi kama vs man city tumewashika kila idara ila hakuna tu anaeweza kumalizia mpira nyavuni. ndio kama lvg anavyosema hatuna suarez au aguero ila tungekuwa nao wangefunga.

hope atamleta hata mario gomez au cavani maana tunahitaji sana forward mpiga vichwa.
 
issue za usajili zipo overated sana. net spending ya man u sio kubwa sana na mtu kama di maria peke yake amekua responsible kwa zaidi ya pound milioni 100, 60 za kuja na 40 za kuondokea.

msimu huu net spending ya man u ni pound milioni 43. kwa kulinganisha tu watford ni 32m na newcastle ni 42m.

hivyo unaweza ukasema man u kaspend kama newcastle. huwezi compare na watu kama city waliotumia zaidi ya 100m

wanachofanya vyombo vya habari wanatangaza waliokuja tu bila kutangaza walioondoka. still timu yetu bado sana na lvg hajatumia hela nyingi ndio maana bodi imempa 200m ili aspend january na ligi ikiisha.

The issue sio ameuza wangapi tatizo ni wachezaji ulionunua wanatakiwa wakusaidie kuimprove timu yako,so far tangu amekuja tumeimprove defence na wachezaji wanaotubeba ni Smalling na De Gea ambao hakuwanunua yeye
Timu yenye Herrera,Mata,Bastian,Young inastrugle kutengeneza nafasi za kufunga magoli.How Manchester United ni klabu tajiri lakini haina striker wa kueleweka inamtegemea Fellaini
Msimu huu Chelsea wanapigania kutoshuka daraja,Man City key players (Aguero,Silva,Kompany ni majeruhi) ,Liverpool walishapotea why sisi tumeshindwa kuchukua advantage ?
 
The issue sio ameuza wangapi tatizo ni wachezaji ulionunua wanatakiwa wakusaidie kuimprove timu yako,so far tangu amekuja tumeimprove defence na wachezaji wanaotubeba ni Smalling na De Gea ambao hakuwanunua yeye
Timu yenye Herrera,Mata,Bastian,Young inastrugle kutengeneza nafasi za kufunga magoli.How Manchester United ni klabu tajiri lakini haina striker wa kueleweka inamtegemea Fellaini
Msimu huu Chelsea wanapigania kutoshuka daraja,Man City key players (Aguero,Silva,Kompany ni majeruhi) ,Liverpool walishapotea why sisi tumeshindwa kuchukua advantage ?

DE gea alikuwa mzuri toka mwanzo lakini smalling ni LVG ndio amemfua. just imagine na sisi tungemsajili mangala na otamendi sasa hivi beki yetu ingekuwa uchochoro na smalling angekuwa bench. ila lvg aliona kitu kwa dogo akaamua asiwalete hao akampa nafasi smalling na matokeo tunayaona.

mtu anaesema man united haitengenezi nafasi za kufunga kuna possibility mbili
1. haangalii mechi za united
2. yupo brainwashed na vyombo vya habari

na hapa pia nitakuja na data mechi 2 zilizopita za ligi

Manchester utd 0-0 west ham
timu imefanya attempt 21 na shuti moja tu golini, attempt 20 zote zikiwa hewa.

just imagine attempt 21 utasema timu haitengenezi nafasi? utasema mfumo ni mbaya? au hatuna quality mbele? martial, lingard, mc nair, na wengineo mechi hii walikuwa wanabutua nje tu
Hap5zY6.jpg


Bournemouth 2 Man utd 1
tumefanya attempt 11 sawa na hawa watoto na wote tumeshoot mara 5 kwenye goli na bado tumefungwa hii inaonesha kabisa hatuna quality mbele na sio kocha wala mfumo. timu kama manchester iki attempt zaidi ya mara 10 unategemea atleast kuwe na magoli kadhaa.

stats unaweza zicheki hapa
BBC Sport - Bournemouth 2-1 Manchester United

tunatakiwa tusajili striker sababu kamari ya Rooney na Depay imefeli
 
VAN GAAL ON INJURY UPDATE
Wayne Rooney, Ander Herrera and Chris
Smalling have trained for a full week
ahead of tomorrow's game. Ashley Young
is progressing, but Jesse Lingard and
Matteo Darmian remain unavailable.


VAN GAAL ON BOUNCING BACK
?The only answer is to win this game. It?s
still difficult because we are playing in
the Premier League, but at home you
have to win, and that?s for sure. Norwich
have had good results against top teams.
What I always say, and that?s not any
excuse, is that winning in the Premier
League is not so easy."


VAN GAAL ON GOALS
?Goals are the most important thing, we
have to always look for solutions to make
goals. We are doing that but we have to
look for the solutions in our selection,
that?s important. Maybe we have
solutions elsewhere but that?s more
difficult, because in January clubs shall
not let go of players who score."


VAN GAAL ON YOUTH
?That?s also a strategy because you can
also hold a big selection, but I think
smaller selections are always better,
because you can give chances to youth
players. We have seen that this year, and
you have seen that they always play good
in their first match. Borthwick-Jackson in
his first match was very good, and also
Varela, who played a very good match
against Wolfsburg. I have to say that, in
my option, it?s the right way."


VAN GAAL ON MOURINHO
Speaking in his pre-match press
conference, van Gaal was aked about Jose
Mourinho's departure. He said: "It was a
big surprise for me, something that I did
not expect. He is a fantastic manager with
a record that nobody has in this football
world, but it is still posssible. The main
thing is, first, the results and secondly the
chemistry between the players, the
manager and his staff. I cannot say what
was happening in Chelsea, but I was very
surprised."


VAN GAAL ON WILSON
The manager finished by saying the Reds
have an option to recall James Wilson
from his loan at Brighton, if needed. Van
Gaal: "We have sent him to Brighton
because he needs match rhythm and he
has to show his qualities. We have
extended his contract because of his
qualities and we believe in him. If we are
in trouble we can recall him."


VAN GAAL ON RECENT FORM
"I have the full confidence of my board
and my players, that is what I feel. That
is like that, but we have to get results, we
have to win. We know that, the players
know that, I know that and the members
of staff know that. There is no doubt that
we have to win because when you lose
too much then even for me it is the end
of the world."
 
Line-ups
Man Utd
1 de Gea
4 Jones
12 Smalling
17 Blind
18 Young
16 Carrick
27 Fellaini
7 Depay
8 Mata
9 Martial
10 Rooney

Substitutes
20 Romero
21 Herrera
28 Schneiderlin
30 Varela
33 McNair
43 Borthwick-Jackson
44 Pereira
 
Line-ups
Man Utd
1 de Gea
4 Jones
12 Smalling
17 Blind
18 Young
16 Carrick
27 Fellaini
7 Depay
8 Mata
9 Martial
10 Rooney

Substitutes
20 Romero
21 Herrera
28 Schneiderlin
30 Varela
33 McNair
43 Borthwick-Jackson
44 Pereira

Fellain for Schneiderlin duuuh
 
Back
Top Bottom