Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

:d:d:d
 

Attachments

  • 1449141476624.jpg
    1449141476624.jpg
    21.5 KB · Views: 162
Manchester United are monitoring Fulham striker Moussa Dembele ahead of a possible bid in the January transfer window.
Sky sources understand United are keeping tabs on Dembele, who has scored eight goals so far this season for the Sky Bet Championship side.
The 19-year-old was thought to be close to signing a new contract at Craven Cottage and has represented France at five age group levels.

Manchester United targeting Fulham striker Moussa Dembele | Football News | Sky Sports
 
Ukiniambiaaa nani afe mdaa huu ktk soka nitakwambiaaa "Ronney"

Ukiniulizaaa nani akwendee ICU nitakwambiaa "Van Gaal"

Ukiniulizaa nani akatikee miguu nitakwambiaaa "Depay"...

Poor Man utd Yangu
 
Ukiniambiaaa nani afe mdaa huu ktk soka nitakwambiaaa "Ronney"

Ukiniulizaaa nani akwendee ICU nitakwambiaa "Van Gaal"

Ukiniulizaa nani akatikee miguu nitakwambiaaa "Depay"...

Poor Man utd Yangu

Tangu lini umekuwa Man U wewe!!! Hatutaki mamluki kwenye timu yetu mtuwacheeeee...... cute b mama njoo uone huku leo DONNGO eti kawa Man U.....lol
 
Last edited by a moderator:
kuna watu wanajipachika tu eti nao MUFC kuleta kejeli tu... eti Depay akatike miguu, Rooney afe kisoka, kwa taarifa yako tupo MUFC yetu na huenda tukabeba kombe mwaka huu.

Angalia muda wa Arsenal kujaa majeruhi ndiyo umeanza na Carzola. Man City tunawajua. Liverfool hawana thamana na hao madogo wakioibuka ghafla watazimika kama Mbeya City.
 
Ukiniambiaaa nani afe mdaa huu ktk soka nitakwambiaaa "Ronney"

Ukiniulizaaa nani akwendee ICU nitakwambiaa "Van Gaal"

Ukiniulizaa nani akatikee miguu nitakwambiaaa "Depay"...

Poor Man utd Yangu

Kushinda mechi mbili tatu za nguvu ya soda za klopp umeshajiona umechukua kombe...bwa ha hq ha ha...
Nakushauri Liverpool jitahidini muingie top four maana mnaweza msipanuse...
 
Tangu lini umekuwa Man U wewe!!! Hatutaki mamluki kwenye timu yetu mtuwacheeeee...... cute b mama njoo uone huku leo DONNGO eti kawa Man U.....lol

Nashukuru umemsanukia mamy....
Huyu jamaa anajidaigi anajitoa ufahamu sana..
Hivi DONGgo ni kwamba umejisahau kabisa kuwa wew ni shabik wa loserfool...
Poor Liverpool
 
Last edited by a moderator:
Kushinda mechi mbili tatu za nguvu ya soda za klopp umeshajiona umechukua kombe...bwa ha hq ha ha...
Nakushauri Liverpool jitahidini muingie top four maana mnaweza msipanuse...

Bora umekuja eti anatujia na mikashfa yake ya kujifanya Man U .......looserfool kazi mnayo sana!!!
 
Kushinda mechi mbili tatu za nguvu ya soda za klopp umeshajiona umechukua kombe...bwa ha hq ha ha...
Nakushauri Liverpool jitahidini muingie top four maana mnaweza msipanuse...

Kweli Man U watamu hadi watu wanaamua kujifanya mamluki hahhahhahahaha !!!!
 
Back
Top Bottom