DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Maajabu kama na nyie mtatolewa kama sisi na Chelsea. Anyway, hili kombe ni la watu ambao mmetoka kapa miaka ya miwili mitatu iliyopita.. ahahahahaha
Hahahaha kwa kujifariji hamjambo
Kwa kuwa jana mmetolewa unadhani kila timu itatolewa? {ninazungumzia timu bora}