Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Wewe ukiwa unangalia mpira kwenye ka-tv kako ka jicho moja, kuna shabiki mwenzio, mwanachama wa arsenal na mchambuzi pia wa michezo anaitwa piers Morgan yeye kawaweka wachezaji WATATU tu wa arsenal kwenye arsenal & utd combined XI ( kos, coq na Sanchez) sasa wewe ushindi wa juzi naona umekutia wazimu umeanza kujiona bora umesahau kuwa ule ushindi ulitokana na Wenger kumzidi mbinu van gaal,

De gea vs cech
Smalling vs per
Darmian/Valencia vs berrelin
Shaw vs monreal
Bast vs carzola
Herrera vs ramsey
Mata vs ozil
Martial vs giroud/ theo

Niliowaacha

Carrick/ Morgan vs coquelin
Blind vs kos
Young/Memphis vs Sanchez

Tafakari chukua hatua.
 
Last edited by a moderator:

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sitaki kushusha credibility yangu kwa kutaka kuendekeza unazi kama ulio nao wewe in fact najua shida ya arsenal iko wapi na wapi lakini si kwa kumfananisha sanchez na sijui na depay au young like seriously aiseee kweli unazi sio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi mpaka sasa mata ameshapiga assist ngapi tangu msimu uanze.... Aiseee mdogo angu herrera 🙌 kwa unazi huu wa sijui Bastian vs carzola haha pole mkuu nataka niwe naangalia kumbe ndo uko ulivyo duuuh hakika wewe ni sports man
 
Last edited by a moderator:

Acha ukipofu wa mawazo mkuu, kwenye hilo kundi la kina Sanchez ndio wachezaji wa arsenal wenye uwezo wa kuanza first eleven Bastian kumfananisha na carzola ni matusi kwenye mpira, by the way kila mtu anakile anachokiamini, amini unachokiamini na Mimi nitaamini hicho ninachokiamini.
 
Last edited by a moderator:

Sure ibaki kua hivyo tu kua bastian ilikuaga 😂😂😂 kama ilivyo kwa Rooney... Simdharau yeyote man u bado mna mtu kama shaw mna mtu kama martial lakini si kwa depay au young ambae ni predictable atlist Mata japo mkabaji wa macho. As u wish harrera sisi tuko vizuri japo tuna mapungufu madogo mno. Sema mengine football
 
Last edited by a moderator:

Mimi cna maneno Ila Wote tunajua Kati ya Asnl vs mnu Nani alifungwa
 

We ndugu utakuwa unapenda tu kubishana bila fact, jamaa kakuambia Sanchez hawez kukosa namba manure hii inamaana young na depay watasugua, sasa wewe umekomalia kuhusu depay na rooney, ningekuona wa maana kama na wewe ungetutajia wachezaji wako unaoona wanaweza kupata namba manure kwenye kikosi cha kwanza ukiachana na hao aliowataja, utuambie atamuweka nani benchi?
Pia tutajie na hayo matatzo madogo ambayo timu yako ya mzee makoti inayo
 
Last edited by a moderator:

Concialyn, chamberlain, Czech, ozil, Gibbs, monreal, Gabriel Paulista, matesacker, Walcott Ramsey mbna wengi mnoooo au walioshiriki kukufunga ni wapi!!?
 
Hiyo sifa alikuwa nayo Ferguson so far sijaona kocha ambaye ambaye ana hiyo sifa (Pep,Jose,Carlo,Wenger,Lippi)
Total unfair kumlinganisha SAF na LVG, Ukitumia benchmark ya SAF hakuna kocha atakayemkaribia kwa mafanikio tena kwenye hii era ambayo timu karibia zote zinamilikiwa na watu binafsi.LVG ni mgeni kwenye EPL na ameikuta timu kwenye kipindi kibovu mno.Unasahau kuwa hata SAF alifungwa 5-0 na Chelsea tena kabla Roman hajainunua,Man City walitufunga 6-1.Kufungwa ni sehemu ya mchezo otherwise tungekuwa tunafukuza makocha kila wiki
 
Reactions: Nzi
Prof aliwaonea huruma Manure akawaambia vijana imetosha ..... ..... .. khe khe khe ke khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


LVG ni mbovu ila ana wachezaji wazuri na wana ari. Kuna kufungwa unakubali hii ilikuwa sio siku yetu au one of those days! Sio kufungwa hovyo kama timu ya LVG,angalia timu inavyofungwa kirahisi kama mechi na swansea, na hii ya arsenal timu inajichezea tu yeye anaangalia tu hana maamuzi ya haraka1 Mechi na psv sio ya kufungwa kabisa! last season fa cup tumefungwa na arsenal kijinga tu! jina la LVG kubwa ila hamna kitu atafanya hapa man utd zaidi ya namba 3/4
 

So hawa ni wachezaji wazuri ukilinganisha na aliokuwa nao SAF?(Rooney,CR7,Scholes,Evra,Vidic,Rio,Giggs,RVP,VDS) walikuwa wabovu ?
Mourinho,Wenger hawa wanafungwa nao tena na timu mbovu zaidi ya Swansea na Arsenal

Then unatakiwa uelewe SAF alishaondoka,hii ligi ilikuwa kichwani kwake
 

Angalia squad ya mwisho ambayo SAF aliochukua nayo ubingwa au angalia timu ya moyes na hii,katumia hela kibao....mind u hata 4th place last season ni kwasababu liverpool walikuwa wabovu sana,mwisho wa ligi tumepoteza mechi mfululizo
 
Kwenda zako huko...haya ni matokeo ya mpira...SAF alipigwa sita OT...ulisema haya unayoyasema?!?
Kwani kuna ugomvi? wewe unadhani kwamba mi sijui kuwa huu ni mpira?hoja yako ni dhaifu, eti kwavile SAF alifungwa basi na wengine wafungwe......vague.....kwaheri
 
Angalia squad ya mwisho ambayo SAF aliochukua nayo ubingwa au angalia timu ya moyes na hii,katumia hela kibao....mind u hata 4th place last season ni kwasababu liverpool walikuwa wabovu sana,mwisho wa ligi tumepoteza mechi mfululizo

Tatizo unamlinganisha SAF mwaka wa 26 na LVG mwaka wa 2 ,Its obvious unakuwa nafasi ya juu kwa ubovu wa wapinzani wako Chelsea walikuwa bingwa kwa ubovu wa City,United,Arsenal,Liverpool na wao pia game za mwisho walikuwa wanacheza ovyo

So Moyes was better than LVG na club ilifanya makosa kumfukuza kazi Moyes ?
 
Prof aliwaonea huruma Manure akawaambia vijana imetosha ..... ..... .. khe khe khe ke khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Uwezo wenu ndio uliishia pale na si kuwaambia vijana imetosha
 
Kwani kuna ugomvi? wewe unadhani kwamba mi sijui kuwa huu ni mpira?hoja yako ni dhaifu, eti kwavile SAF alifungwa basi na wengine wafungwe......vague.....kwaheri

Inamaanisha kufungwa ni sehemu ya mchezo....hata best managers ufungwa kutokana na kuzidiwa maarifa siku hiyo...

Tatizo lako ushaweka mtazamo hasi juu ya LvG...na unatokea tu pale anapofungwa...ukimwangalia kwa namna hiyo ndiyo maana nami nikakwambia juu ya SAF...

Kama umefuatilia timu toka transition ianze, basi hakika kuna improvements nyingi sana...hivyo huwezi tu kuwa 'negative' tu bila kuangalia picha nzima...
 

wewe ndio unataja au kulinganisha SAF wa miaka 26, mimi mnakujibu unavyouliza. timu ya SAF aliyomaliza nayo ilikuwa average na kachukua ubingwa. huyu LVG ana timu nzuri na anambwelambwela tu. narudia tena kila timu inafungwa lakini timu za LVG inafungwa kizembe mno....na hawezi hata kubadili mchezo! man utd hata iwe vipi jhaiwezi kukimbizwa na arsenal kama jumapili iliopita!
 
Uwezo wenu ndio uliishia pale na si kuwaambia vijana imetosha

Sawa, lete agenda nyingine maana hatuna uwezo khe khe khe ke khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…