Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm mbovu toka 1990's lkn nyie mpo kwenye denial stage!Sioni kwa miaka ya karibuni ku retain EPL
Karibu wachezaji wote leo hamna hata mmoja mwenye hadhi ya kuichezea Man U ya babu

Pole naona BR keshafukuzwa .... .... ..
 

@Wacha mbwembwe mkuu ..... ... mcheza kwao hutuzwa ...Ding ... Dong.
 
Oh! Vyema basi, maana tumeshacheza na Liverpool. Kwahiyo hapo unataka kusema nayo siyo wa maana eh?!

Liverpool hamna team pale,hata sare ya leo ni kubahatisha tu!Hadi atoke BR tutakuwa OK
 

Hiyo sala haikuvuka hata Ppf tower
 
Eve & cute ratiba ya kumuhifadhi marehemu inaenda vp?
 
mfilisti is a MAN U fan die hard whatever it takes wther we loose, draw or win i will always sing GLORY GLORY MANCHESTER UNITED

what i know is that i'll die for Man U

May be when the colour of my blood change to white i'll stop be part of REDS
 
Last edited by a moderator:
Brendan Rodgers next Manchester United manager. Keep it British... After Manchester United sacking Giggys offcourse
 
Liverpool hamna team pale,hata sare ya leo ni kubahatisha tu!Hadi atoke BR tutakuwa OK
Dua yako imepokelewa.
BREAKING: Rodgers sacked as Liverpool boss

Statement from Liverpool owners, the Fenway Sports Group: "Although this has been a difficult decision, we believe it provides us with the best opportunity for success on the pitch.
"Ambition and winning are at the heart of what we want to bring to Liverpool and we believe this change gives us the best opportunity to deliver it.
"The search for a new manager is under way and we hope to make an appointment in a decisive and timely manner."

Mr . Dick jana, leo Rogers, next week Mou.
 
Khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ntuzu naomba uje na handkerchief za kutosha mkuu...kuna watu walitukana mamba kabla ya kuvuka mto
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…