Expectation kwa huyu dogo zilikuwa kubwa sana,tatizo sio yeye tu angalia Mitrovic,Firmino,Pedro, Otamendi bado wanastrugle EPL sio nyepesi tatizo lake anapenda sana kukaa na mpira na mara nyingi anapoteza.I hope atakuja kutulia tu,so far LVG anafanya rotation vizuri sana