Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

....Reminder;

7170261923642l.jpg


...kwaherini.
Najiandaa na Kesho msibani, Darajani!

Kule kwenye Jukwaa lao kunakuwaga hakuna Mtu...hata huyu Masa mnamuona hapa anashangilia Draw ya Arsenal na Kichapo cha MANURE.......
 
haya waungwana leo tumefungwa fairly and squarely...inauma kufungwa lakini jinsi tulivyofungwa inauma zaidi. Weekend ijayo should be very interesting. Hongera zao kwa arsenal kwa kutoa draw.
 
Kule kwenye Jukwaa lao kunakuwaga hakuna Mtu...hata huyu Masa mnamuona hapa anashangilia Draw ya Arsenal na Kichapo cha MANURE.......

Adui yako muombee njaa mazee! Matokeo ya kesho yatatupa nafasi tukishinda tu
 
haya waungwana leo tumefungwa fairly and squarely...inauma kufungwa lakini jinsi tulivyofungwa inauma zaidi. Weekend ijayo should be very interesting. Hongera zao kwa arsenal kwa kutoa draw.

Not only u who is disappointed hata Man Utd boss Sir Alex Ferguson: "We are disappointed. It's been a long run for us. The players have done us all proud but in the second half we didn't really get going. They are a handful at the set pieces as it proved today. It was an opportunity for us to continue our great run but today was a great disappointment." And on Rio Ferdinand: "He's done his calf and that's him out for a couple of weeks I believe."
 
Nilitegemea comeback kama kawa kipindi cha pili lakini kimya.... mtu mzima kanyolewa ndevu kwa mikono!!!
 
Pheww!...dua za Arsenal utazijua tu🙂) kidding

Wikend mbovu kabisa hii..bora nipate wine sasa!! agrrrrrr
 
Pheww!...dua za Arsenal utazijua tu🙂) kidding

Wikend mbovu kabisa hii..bora nipate wine sasa!! agrrrrrr

Pole sana BJ ,hii ligi simchezo. Mpira mtamu sana yani dakika chache tu mie nilikuwa mgonjwa unanipa pole na sasa hivi mie nimepata nafuu nakupa wewe pole lol.
 
Pole sana BJ ,hii ligi simchezo. Mpira mtamu sana yani dakika chache tu mie nilikuwa mgonjwa unanipa pole na sasa hivi mie nimepata nafuu nakupa wewe pole lol.

Si ndio hapo yani acha tu AW..naona kicheko kimetugeukia ManU bora nyie mlidroo!!..angalau na wewe utakuwa umepata ahueni mana sasa timu pinzani ikifanya vibaya ni afadhali kwa nyingine!!..ligi presha hii!!
 
Pole sana BJ ,hii ligi simchezo. Mpira mtamu sana yani dakika chache tu mie nilikuwa mgonjwa unanipa pole na sasa hivi mie nimepata nafuu nakupa wewe pole lol.

Mpe na ya wiki ijayo....koz anacheza na Man City............Watakua unstable kwa kichapo cha leo..
 
Give us whichever names u want..but the truth will always stand still....I 100% sure that u are also not sure of winning 2mrw!!!!!!!!!! Aren't U???

Writing on wall in red! Usiwe na hasira easy easy kesho shangilia El nino na Drogs........!
 
Mpe na ya wiki ijayo....koz anacheza na Man City............Watakua unstable kwa kichapo cha leo..
hehehe wiki ijayo lazima tuzae na citeh alafu tunachezea old trafford...katika mechi zote za ligi kufungwa na citeh au liverpool ni unacceptable. Citeh wiki ijayo watapaki basi golini ili wapate draw kama kawaida yao.
 
Si ndio hapo yani acha tu AW..naona kicheko kimetugeukia ManU bora nyie mlidroo!!..angalau na wewe utakuwa umepata ahueni mana sasa timu pinzani ikifanya vibaya ni afadhali kwa nyingine!!..ligi presha hii!!

Uwezi kuamini mmefanya weekend yangu ratiba zote ziendelee kama kawaida.Niko poa kabisa hapa.
 
Uwezi kuamini mmefanya weekend yangu ratiba zote ziendelee kama kawaida.Niko poa kabisa hapa.

kwel kabisa hata mm ninakubaliana na wewe mana yan cnaona kama nimekosea ninaona nipo saf na jiangalien sana nyny alikuwepo chelsea hapo juu na kashuka kubado nyny
 
Back
Top Bottom