Ndugu yangu Wacha ,tatizo la France lilikuwa ni hiyo FA yao sijui kwa nini walimuongezea mkataba Raymond Domenich ambaye alisababisha mgawanyiko mkubwa kwenye timu pamoja na kuwaacha wachezaji kama Mexes,Frey,Benzema,Nasri.Simlaumu Blanc kwa kumuacha Evra sababu ameambiwa na Waziri wa Michezo jamaa asirudi lakini ukweli Evra ni beki bora wa kushoto hapa duniani