Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HUYU refa wa kidwanzi sana rafu kama ya luke shaw yule jamaa wa psv alikuwa anakula umeme(red) sasa chenyew kinaangalia nakuanza kuruka ruka tuu!rafu nying kinaacha tuu.. hapa ndipo napo mmiss rooney angekifokea balaa sasa humo ndan yumo capten mpole sana...
 
Nionavyo mimi kiwango cha Elimu kimeshuka hasa ukizingatia sifa za walimu waliopo , miundo mbinu tuliyonayo na utekelezaji wa mipango tuipangayo kuhusu Elimu.

Kama vigezo vya kupanda kwa Elimu ni idadi ya wanaojiunga katika ngazi furani ya elimu basi Elimu ya Tanzania iko juu mno kulinganishana huko nyuma.

Angalia matokeo ya kidato cha nne kila mwaka tumekuwa na karibu asilimia 80 ya wanasemwa wamefaulu kuwa na daraja la nne.Daraja ambalo hata afanyeje labda ataenda ualimu kama ambavyo tumefanya miaka ya 90 na mwanzoni mwa mwaka 2000.

Madarasa yapo watoto hawasomi kwa kukosa walimu hiyo Elimu itapandaje, ili tendo la kujifunza liweze kufanyika ni lazima mwalimu awepo na mwanafunzi pamoja na mabo mengine kadha wa kadha wataalamu wa elimu wanaijua.

Tutaendelea siku nyingine.

Asante.

Msiondoke bana komaeni bana Mbona Rojo mzuri tu atarekebisha fresh, upone haraka Shaw......
 
Dogo Shaw amekuwa ni mmoja wa wachezaji walioanza msimu vizuri sana. Sasa yawezekana akakosa msimu wote, kama kweli kavunjika mguu.

Atakuwa kavunjika vibaya, mkuu. Uliona beki wa PSV alivyo-react kwa kukimbilia mbali hakutaka kuona yaliyotokea. Kama kurudi itakuwa kati ya jan-april.
 
Nimepoteza kabisa hamu ya hii game

Nimeangalia clip ya huo mguu youtube its terrible...

haijakaa pia naona wameitoa tayari

BTSport wanasema ni suspected broken leg
 
Get well soon Luke Shaw uploadfromtaptalk1442346550674.jpg
 
Back
Top Bottom