Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

uploadfromtaptalk1442339938558.png
 
What is happening with Schneid??

Alipopumzishwa juzi nilijua ni kwa ajili ya hii game..naona mzee amemuweka nje leo
 
What is happening with Schneid??

Alipopumzishwa juzi nilijua ni kwa ajili ya hii game..naona mzee amemuweka nje leo

hiki kikosi sio cha ushindi sina imani nacho kabisa, Herrera hawezi kucheza deep, young na depay wote ni LW nani atakaecheza RW? young hawezi kabisa
 
Hapana, yule dogo ni namba tisa halisi na mjanja sana,ukimuangalia tu anakueleza yote. Ninaomba usiku na mchana VanGoal asichakachue kiwango chake kwa kumchanganya changanya namba.

Ukimuangalia vizuri huyu dogo, kama wewe umeanza kufuatilia mpira zamani kidogo, kiwango chake na style ya chezo wake inakupeleka kwa Thiery henry ndani ya Highbury kabla ya kuhamia Emirates. Ni suala la muda tu, dogo atathibitisha yote.

BACK TANGANYIKA
Martial anacheza position hizi
LW/RW AU CF/ ST
 
Namuonea huruma sana huyu dogo Shaw

Kila akianza kurudi kwenye kiwango majeruhi yanamrudisha nyuma

Get well soon
 
Shaw kavunjika vibaya. Inawezekana asicheze msimu mzima. You could see the reaction from the PSV defender to know how bad it was. Labda inaweza kuwa kama ya Ramsey, Edu enzi zile
 
Dogo Shaw amekuwa ni mmoja wa wachezaji walioanza msimu vizuri sana. Sasa yawezekana akakosa msimu wote, kama kweli kavunjika mguu.
 
Back
Top Bottom