Naona mnamshangilia messiah DDG kusaini mkataba. Nadhani sasa hivi amekuwa Lowassa wenu, hatoitwa mshamba,mwenye tamaa, mjinga mjinga kama alivyokuwa anaitwa miezi kadhaa iliyopita
everlenk
Yaani wewe kaama kibakuli cha mbumba....lazima utajitokeza tu!!!
Safiiii DDG. ......
RRONDO bana, sasa nisemeje. Nimeona mnavyoshangilia kwa posts kibao tofauti halafu nje ya main Manchester United threads. Nasubiri kuona kesho mtakavyompiga madongo DDG baada ya kuruhusu magoli 2 ya Benteke. Usi-mind mkuu ndio mambo ya sports banter humu ndani, miaka ya nyuma fulani mlikuwa mnatupiga madongo kila siku sasa mchezo unabadilika.
David De Gea atauzwa summer.....Hii ni mbinu tu ya kufanya man utd wawe kwenye kushikilia mpini wakati wa makubaliano na Real Madrid. Timu itakuwa imekubaliana na DDG kumuuza summer ila asaini mkataba kwanza ili wawe kwenye strong position wakati wa makubaliano. Kumbuka CR7 alisaini mkataba ndio akauzwa.
ROONEY out kwa mechi hii..hahahahah..fellaini upfront...hahahaha...
Naona mnamshangilia messiah DDG kusaini mkataba. Nadhani sasa hivi amekuwa Lowassa wenu, hatoitwa mshamba,mwenye tamaa, mjinga mjinga kama alivyokuwa anaitwa miezi kadhaa iliyopita
everlenk
Contracts means nothing siku hizi, dont get your hopes up..
El classico is the biggest match in the world, they said😂😂😂😂!!!!'
View attachment 285922
ROONEY out kwa mechi hii..hahahahah..fellaini upfront...hahahaha...
It will not be easy,baada ya deal kucolapse hakuna uhusiano mzuri kati ya Man United na Madrid.As long as LVG na Woodward watakuwepo sidhani kama Madrid watakuja next season
RRONDO bana, sasa nisemeje. Nimeona mnavyoshangilia kwa posts kibao tofauti halafu nje ya main Manchester United threads. Nasubiri kuona kesho mtakavyompiga madongo DDG baada ya kuruhusu magoli 2 ya Benteke. Usi-mind mkuu ndio mambo ya sports banter humu ndani, miaka ya nyuma fulani mlikuwa mnatupiga madongo kila siku sasa mchezo unabadilika.
umeona prediction ya jamaa yako mearson? eti hii game ni draw ya 2-2,
najiuliza huyu jamaa kama kila game anayotabili kuhusu utd ni kweli basi tungekua tunajihakikishia kushuka daraja katikati ya msimu.
Na unavyojua kupotea leo sijui utajificha wapi popote ulipo nitakuibua, juzi Kati malegend wetu wamewachapa malegend wenu 4-2 sasa sisi leo kipigo cha mbwa mwizi NNE KAVU........hahahahahaha #Davestays
El classico is the biggest match in the world, they said!!!!'
View attachment 285922
the only reason umeweka hii hapa ni
liverpool 44 trophies-man utd 42 trophies...