JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,673
Hivi hii inshu ni revenge ya Fabio Contrao na Ramos...?Van Gaal amemuonea sana DeGea.
Haikuwa fair.
Hivi hii inshu ni revenge ya Fabio Contrao na Ramos...?Van Gaal amemuonea sana DeGea.
Haikuwa fair.
Van Gaal amemuonea sana DeGea.
Haikuwa fair.
Hivi hii inshu ni revenge ya Fabio Contrao na Ramos...?
Hivi hii inshu ni revenge ya Fabio Contrao na Ramos...?
Inavyoelekea Madrid walikuwa hawamtaki DDG kama alivyokuwa anawataka. Normally hawa jamaa wakimtakaga mchezaji huwa hawasikii wala hawaoni hadi wamemsajili lakini kwa DDG walikuwa mguu nje ndani. Sasa DDG yupo katika wakati mgumu, hataki kuendelea kuwa Manchester United then hatoweza kucheza mechi nyingi au muhimu unless makipa wengine wawe majeruhi.Anyway, january Madrid watampata kwa less money waliyotakiwa kulipa jana ama sivyo ndiyo ataondoka free mwezi wa 6 mwakani. Kitu kingine huyu jamaa anaweza kujuta kuhamia Real Madrid sababu jamaa wana historia ya kutaka wachezaji kwa udi na uvumba then wanawatema baada ya msimu mmoja au nusu msimu mfano kina Reyes, Thomas Gravesen etc. Hata hivyo ni bora kukimbia meli inayozama(Manchester United) kuliko kung'ang'ania kama vile wewe ndiyo mmiliki.
Decision za Perez nyingi ni za kibiashara ,Madrid walikuwa hawashindwi kutoa hiyo hela na Navas alishatulia baada ya Iker kuondoka,nashangaa why walisubiri siku ya deadline hapa atakayeumia ni De Gea. Nimeanza kumchukia LVG but kwenye hii issue amekuwa very smart Man United sio timu kama Sunderland au Porto ukitaka mchezaji wakati wowote unampata
Umeiona Report ya R.M ? Wanadai MU ndo wamefamya swala gumu na kwamba eti MU ndo wamekubali jana kuanza mazungumzo na kwmb kila kitu akimaliza on time.
Coentrao ninae mzungunzia ni wa kipindi cha DM mwezi January na sio LVG kipindi kile MAN u walikuwa wanamtaka kuziba pengo la Evra ambae alitaka kuondoka mwishoni mwa msimu ule na hapo ilikuwa ni kabla yakumsajili Shaw...Coentrao angekuwa mchezaji wa Man U ila firigisu firigisu zilifanyika tukashindwa kumchukuaCoentrao hakuwa priority ya Man United, Ramos alitaka kuongezewa mshahara na Perez hakutaka kuhama na mwisho alipata amount ambayo mwanzo Perez aligoma kumpa
Decision za Perez nyingi ni za kibiashara ,Madrid walikuwa hawashindwi kutoa hiyo hela na Navas alishatulia baada ya Iker kuondoka,nashangaa why walisubiri siku ya deadline hapa atakayeumia ni De Gea. Nimeanza kumchukia LVG but kwenye hii issue amekuwa very smart Man United sio timu kama Sunderland au Porto ukitaka mchezaji wakati wowote unampata
Coentrao ninae mzungunzia ni wa kipindi cha DM mwezi January na sio LVG kipindi kile MAN u walikuwa wanamtaka kuziba pengo la Evra ambae alitaka kuondoka mwishoni mwa msimu ule na hapo ilikuwa ni kabla yakumsajili Shaw...Coentrao angekuwa mchezaji wa Man U ila firigisu firigisu zilifanyika tukashindwa kumchukua
Pesa Man Ut waliyotaka mwanzoni ilikuwa £35M wakagoma kuitoa, jana wakakubaliana(Man Utd & RM) 29M wakakubali, kilichoharibika sijui ni nini. Sasa hivi ni blame game wao wanasema Man Utd wamechelewesha, Man Utd wanasema RM ndio wana makosa ya kuchelewa. Tusubiri tuone ukweli baada ya muda wa usajili kuisha.
DSTV WAPANDISHA BEI TENA!!!!
Kuanzia Oct 1 ni Tsh 219000 duh wanatunyonya Lisa EPL
Na mechi zenyewe za mieleka haaaaaaa
Azam wapo poa kuna LA Liga game kamili..Ligue 1,,Bundesliga game moja moja halafu vibandani kucheki EPL YAO 700/1000 Tsh