Hahaaa....nicheke Nakapanya mimi,niliposema chini ya LVG Man Utd haitopata mafanikio yoyote watu walinibeza humu,leo wenyewe wameanza kuuona ukweli.
LVG hagai kuendelea kuwepo Man Utd,na tukiendelea kumshikiria basi tusahau mafanikio.
#SAYNOTOLVG
Kwa nini unawakatisha tamaa na kuwadanganya?
Link https://sport.bt.com/sportfootball/football/van-gaals-trophy-record-S11363903294757
Hiyo rekodi yake haiwezi kuisaidia Man Utd kwa vyovyote vile,LVG ni mtu wa hovyohovyo tuu.He better quit
Unapendekeza nani achukue nafasi ya LGV?
Huyu ....panya anaengalia mechi kupitia tv tu?
Dugu ..kapanya umeshindwa kuona swali la msingi.Uko juu comrade,huwa unahudhuria live matches pale OT,Emirates,Stamford Bridge etc.....hongera sana
Halikuwa lengo kusema kuwa Nonda anaenda OT au Msimbazi kuangalia mechi za mpira.
Swali la msingi ni je wewe Na...panya umeshawahi kucheza mpira? Umeshawahi kufundisha kucheza mpira wa miguu?
LVG ana historia ya kufundisha kandanda na amejitwalia mataji, Leo ...panya anatokea kutoka mashimoni tu na kusema LVG hafai, si kocha. ni mtu wa hovyo hovyo tu.
Waliomwajiri walimwokota jalalani tu?
Je Man. United ya leo ni ile aliyoiacha D.Moyes?
Je LVG aliamua kuacha kufundisha timu ipi ili kuchukua kibarua cha kuifundisha timu ya mashetani wekunduuu?