everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Pole mtani ndiyo raha ya mpira ningekua karibu ningekupa leso .... Ligi bado haijachanganya mjipange sept 12 maana tutawapa tena maumivu ..... Nakuoneaje huruma ingawa unajikaza
Mtani ni rahisi sana kufungwa na Swansea kuliko kufungwa na LFC, hata utupeleke sasahivi uwanjani mtani tunakufunga........