everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
![]()
International break chacha na keshokutwa dirisha ndo linakomewa hakuna kutembeza mpunga tena
what you have is enough .... ...
Kamwambie Wenger haya maneno Benzema vipi anakuja au?..........
![]()
International break chacha na keshokutwa dirisha ndo linakomewa hakuna kutembeza mpunga tena
what you have is enough .... ...
Hahahaaa!!! Umenidanganya unaona eee mechi ijayo kichapo kitakuhusu.....lol
Swansea ni bogey team ya Manu HAINA ubishi!
Dah! Huyu Ayew nimemcheki toka mechi ya kwanza siamini kama alikuwa ni free agent au alilazimisha mkataba wake na Marseille uishe!! Ni hatari na hana ubishoo, amakaba, anatengeneza, anafunga na anapoteZa muda kwa ajili ya wenzake wajipange!
Jana ndio mwisho Wa Chelsea kufungwa ,michezo ijayo tutakua tunagawa dawa tu kwa watoto .
Ahhh!! Wapi!!! Yokobus haijatoka bado gereji halafu naskia eti fundi wake ashakufa....lol
Umetugeukaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!.......lol au unajihukumu mwenyewe kama mimi na pacha......lol
Katoe sadaka ya shukrani, usipotoa siku nyingine hutajibiwa maombi yako.......
Hahhahaha mtani hivi Gomis anashangiliaje vile
Kufungwa kwenu leo si kosa la LVG au Rooney. Anastahili hizi lawama ni Paul Merson aliyetabiri kuwa mtapigwa ubaya 2-1 na imetokea.
Merson's predictions: Swansea to beat Man Utd, and a tricky test for Arsenal | Football News | Sky Sports
cc DonDonald, Nzi, Belo,Bavaria, RRONDO na ma-hater wote wa Arsenal au Arsenal affiliates
Nimewageuka kivipi?? Hao watu ni mashabiki damu ila siwasikii humu
Haaahaahaaa mama mbili moko
Yokohama ipo vizuri sana wakati Wa furaha unakuja
Hahahhahahaa!!!! Najutraaaaaaaaaa kwanini jana sikukulegeza kabisaaa nilifanya kosa sana kukufufua tena matokeo yake maombi yako yakafika mbinguni.....
Striker ni Fellaini ndugu yangu....Kwani hajacheza leo?