Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
mmekutana na mbovu!' ............
Kwani wakati unatabiri ulitabiri kwa timu ipi?
Kama ni hii ulikiwa hujui kama ni mbovu? .....aiseee #wasagasumu bana
#WeLoveWhatYouHate
mmekutana na mbovu!' ............
mmekutana na mbovu!' ............
Sergio Romero atafanya tumsahau De Gea soon
Ile mechi ilikuwa ya Magoli mengi kama hii....sema Goli 6 zilifungwa kwa mechi mmoja tu tofauti ya goli moja kwa aggregate kwa mechi hiiIt's WayneRooney's first #UCL hat-trick since his debut treble against Fenerbahçe in 2004.
Acha tu mkuu sijui !!!.....utasikia niliwaambia mtulie Magoli kwa Rooney yanakuja sasa hatuna shida tena ya striker.....maana kama keshatuambia Fellain naye striker kuna nini tena hapo? Tusubiri dirisha la mwakani.....naona lengo la kubeba UCL limeanza vizuri zaidi hahahahaha chezeiya LVG wewe na philosophy yake!!!! PC hii sitaki niikose kabisa ahahaha. ........GGMU
Kile kichambo cha mashabiki noma, nyota yake na ing'ae tu
I guess united inatakiwa iwe na another world class striker kwa maana ya kwamba tuna michuano minne ya kucheza. So on average kuna almost mechi 50 za kucheza kwa msimu huu. Kuanzia EPL, FA, UCL, Capital One.
Hii michuano ni mingi kwa sasa tunahitaji atleast wachezaji wawili au watatu kwa kila number.
Chicha kakosa penati duh
Endelea kubadili maneno tu......hahhahaha
Malafyale upo mkubwa?Rooney has scored more goals tonight than Liverpool have all season #JustSaying
Umeona van gaal alivyo muangalia giggs baada chicharito kukosa penati