Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimejikuta nacheka.
Tupo kwenye mawazo sawa.
Kwa United naona dalili ya dirisha la usajili kufungwa baada ya hii mechi.

Acha tu mkuu sijui !!!.....utasikia niliwaambia mtulie Magoli kwa Rooney yanakuja sasa hatuna shida tena ya striker.....maana kama keshatuambia Fellain naye striker kuna nini tena hapo? Tusubiri dirisha la mwakani.....naona lengo la kubeba UCL limeanza vizuri zaidi hahahahaha chezeiya LVG wewe na philosophy yake!!!! PC hii sitaki niikose kabisa ahahaha. ........GGMU
 
Back
Top Bottom