Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Leo kazingua cjui kashalewa yale maneno ya Van Gaal juz na goli mbil alizofunga.......halafu anacheza kizembe sana, kivivuvuvi hiv......cjui mdo anajiona staa au vip, kingine anasahau hii n EPL.....anaomba fouls mpk anakera!
Kingine inaonekana van gal pia anajisahau amemtumia Mara kaza first half na second half kwa vipind flan lakini first half kamtumia sana kama winger tegemezi Katika mashambulizi kama ilivyokua ikifanyika kwa Ashley young... Mzee akuwa mwepesi kubadilika wakati tayar Depay Alisha mbwela mapema tu