xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Unafikir tatizo ni Rooney??
tatzo ni west ham
Unafikir tatizo ni Rooney??
wenye striker wazuri na mid mzuri mna point ngapi?
tatzo ni west ham
Sasa si ni kweli kua huna striker mzuri Sawa kunashida gani tukiongea kisport au??
Old Trafford...two points off the basket.
Hongera mtani kwa kunyakua point moja na clean sheet 😎😎
Hili tatizo limejidhihirisha wazi toka siku ya kwanza Striker sasa ni shida kwetu hata kipofu anaona Ngoja tusubiri tuone hatua gani zitachukuliwa maana huko mitandaoni kinanuka kweli kweli fans wa MU si mchezo!!!!
Zimeniuma sana hizi point 2. Naona kama tumefungwa.
bado mapema sana, giroud ana goli moja, Costa hana, Kane hana, why always Rooney?
Uzuri wa mashabiki wa United wanakusifia kama unafanya kazi na kama unavurunda wanakutimua.
Hatuna rekodi ya kufukuzisha mtu bila sababu.
Nadhani mechi ya leo watakinukisha vya kutosha na uzuri wa management wanasoma comments za mashabiki.
Naamini watalifanyia kazi hili swala.
Tuwe na subira MUFC fans mwanzo huu si mbaya japo si mzuri, matumaini ni makubwa by the way Neymar yupo njiani.
Leo ilikuwa ni siku ya draw, hongera kwao Crystal Palace na Bournemouth kwa kubeba point zote tatu.
Wait for Ronney to score a goal after months of firing blank and British Medias talkSPORT 1st will start calling him the English Messi.
'New Ronaldo' leo bureee kabisa! Jnne kapelekesha timu ya 'mchangani' watu kelele kibao!!
Mtani umeanza haya bana Asante......nimemaliza kibarua changu japo ujira siyo siku hazilingani bado chako j3....
Nimeona si jambo baya kuja huku kukupa hongera kama wewe unavyokuja kule kwetu Dada everlenk hongera kwa point 1
Hahaaaa..... Changu nitakimaliza mapema Benteke hataki masihara