Ila matokeo ni matokeo tuu hamna namna.
Halafu huyu newcastle amecheza mechi tatu zote kadroo mchawi kweliii
Na ligi ndo imeanza hivyo
Ha ha haaa utoege ata pongezi atiii.
Ligi ilishaanza siku nyingi mara ya kwanza tulidroo mara ya pili tulipigwa tatu kavu in moureen's voice
Possession bila ushindi ni kazi bure.
Please we need strikers.
Kapigwa mechi yake ya pili aliocheza na Swansea walipigwa 2-0
Possession bila ushindi ni kazi bure.
Please we need strikers.
Acha uchokozi
Sisi twaanza kesho
Performance ipi kuwa muwazi. Kwa possesion sawa ila kwa mengine inabidi mjitafakari upya. Wachezaji wote mlioingiza sub ndio waliotakiwa kuanza
Ha ha haaa utoege ata pongezi atiii.
Ligi ilishaanza siku nyingi mara ya kwanza tulidroo mara ya pili tulipigwa tatu kavu in moureen's voice
Be more concerned of your team kuliko kuniuliza maswali ya kipuuzi....
Ukiwa huelewi na huelewi kama huelewi hata kueleweshwa hutakaa uelewen...
Kumpanga Januzaj na kumwacha nje Herrera ni upumbavu
Hahahahhahahha ilikuwa ni fake results hahahahahaha......
Depay Sawa au si sawa