everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mtani katika ubora wake nasikia baada ya kumkosa Pedro sasa tunahamishia nguvu zote kwa Mane
Mtani usajili wa Pedro tu ndo umewafanya mje mjae hivi? Mane tu Mbona hadi Balloteli hujasikia?..........halafu Mbona tushatoa tamko hatusajili tena.....lol