Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1439920552225_lc_galleryImage_Manchester_United_v_Club_.JPG


Vi-kina Belo et al vimekimbia vinachubiri mechi iishe ..... ... .
Kheeeeeeeeeeeeee ekhe khe khe kje khe khe kheeeeeeeeeeeee e ee
havina uhakika na timu mbofu mbofu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
article-3202351-2B782FE100000578-92_964x390.jpg


Taarifa za uhakika kabisa kutoka ndani ya Old Trashford ni kwamba Wine Romney ame burn out baada ya mechi mbili? Hivi mko salama huko au ndio basi bora liende.

Hizi ni hisia kushuka kiwango sababu ni mlima lakini kama ni kweli si yamaanisha anahitaji mapumziko tu ?
 
MUNGU Ibariki Manchester united! Tupate magoli mengi na ushindi juu...
All th best Manchester united
 
Kila la kheri jamani...msijetufanya tukahamishia vigodoro kwenu!

Mi nalala ila nitaamka kutoa pole/hongera!


Welcome to the Champions League.
 
Kila la kheri jamani...msijetufanya tukahamishia vigodoro kwenu!

Mi nalala ila nitaamka kutoa pole/hongera!


Welcome to the Champions League.

Asante,Najua una hamu na sisi ile mbaya lakini hutupati ng'oo!!!
 
Uzuri wa Man Utd wakiwa wanacheza majukwaa ya timu zingine zote yanakwenda likizo kila mtu macho na masikio wanahamishia hapa.

Wengi wao wanaingia kama Guest kusikilizikia itakuwaje kwanza .. hahahaha

Man Utd kweli heshima.
 
Kila la kheri jamani...msijetufanya tukahamishia vigodoro kwenu!

Mi nalala ila nitaamka kutoa pole/hongera!


Welcome to the Champions League.

mungiki Brother umeibukia huku hebu rudisha pics zetu pale kwenye thread yetu ya Gunners sivyo tutakurudisha Kibera. Ebo! Wacha fitna.

BTW pole kwa kipigo lakini usimwambie Invisible nimekupa pole maana huwa hukawii kukimbilia Etihad.
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa Man Utd wakiwa wanacheza majukwaa ya timu zingine zote yanakwenda likizo kila mtu macho na masikio wanahamishia hapa.

Wengi wao wanaingia kama Guest kusikilizikia itakuwaje kwanza .. hahahaha

Man Utd kweli heshima.

Kwa hiyo unatufukuza? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Asante,Najua una hamu na sisi ile mbaya lakini hutupati ng'oo!!!
Wacha kumpa Thanks huyo mtoto wa Kibera karibu atasahau kurusha fying toilets khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
1439923864189_lc_galleryImage_Manchester_United_v_Club_.JPG


Chacha hata updates hamleti .. ...arggggggggggggggggggggggggggggg
BASI ISIWE SHARI MI NATIMKIA CINCCINATI KUANGALIA TENNIS .. ... ..... ...
 
1439923864189_lc_galleryImage_Manchester_United_v_Club_.JPG


Chacha hata updates hamleti .. ...arggggggggggggggggggggggggggggg
BASI ISIWE SHARI MI NATIMKIA CINCCINATI KUANGALIA TENNIS .. ... ..... ...

Mwaka wa zawadi huu acha tu!!!........lol ni raha kupewa siku ukitoa wewe inauma mbaya.....
 
Back
Top Bottom