Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Nahamu sana yakumuona my hubby chicharto akcheza nahisi ntafuhi sana,
Yupo sub. Bila shaka ataingia.
Nahamu sana yakumuona my hubby chicharto akcheza nahisi ntafuhi sana,
Nahamu sana yakumuona my hubby chicharto akcheza nahisi ntafuhi sana,
Mtani shusha dua zako mtani tafadhali nataka kufika nchi ya ahadi yenye maziwa na Asali.......ushindi ndo muhimu mtani hata nusu goli lingekuwepo ingekuwa pouwa.
Nahisi atakuwa anacheki partnership ipi itakuwa nzuri zaidi hasa kwenye defending. Morgan ameshajihakikishia numba ila kazi ni Carrick na Bastan hasa ukicheki fitness zao kwa kipindi chakaribuni sio nzuribado sijaelewa Partnership ya Morgan na carrick, wote ni DM kwann analazimisha wacheze pamoja wakati bastian yupo.
Ngoja nikuombee mtani kwa leo. Kila la kheri mtani wangu
Ok ngoja tuoneni bt nimuhimu wasipate goli la ugenini awa wageni au nyie mnaonaje,,
mpira saa ngapi?
21:45 eat
Unavyompenda Depay mpaka basi, simple presha ila mmwagie baraka zako....
Ushindi lazima Wacha 1 karibu ushuhudie mtanange safi kabisa.