Hii team una hungover ya Ferguson
Acha tu Wangu pale mbele ni butu sana panatakiwa kunolewa, big up kwa safu yetu ya Ulinzi.....
Ha ha haaaa,we buana tuachie MAN U yetu.
Kiukwel tunahitaji mfungaji na center fulback
"Mpaka sasa" tunavyokwenda siku timu ngangari ikianza kutufunga sijui kama tutashinda hiyo mechi-- kumbe timu yako ya pili nayo inacheza sasa
Goli moja sio afya aisee.
Siyo afya ndugu lakini mambo yanapokuwa siyo point 3 ni muhimu zaidi kuliko kitu chochote
Damian,Shaw,Smalling,Schneidelen na Mata wamecheza vizuri sana hizi game Rooney,Carick,Depay wanapaswa kuimprove.Tunaanza game slow sana ningependa Bastian angeanza mechi ijayo badala ya Carick,Bastian ni mzuri sana kupanda mbele kusaidia mashambulizi.Rooney anapangwa kwakuwa ni captain
Mara ya mwisho kuona Mchepuko wangu alikuwa ameshachezea kimoko.....
Suala la DDG nadhani limekuwa handle vibaya na Moyes na mrith wake LvG.
Mosi ni ajabu Moyes alikimbilia kumpatia mkataba mpya Nani lakini akasahau kufunga mkataba mpya na DDG !
Pili sioni mantiki ya kuendelea na DDG wakati anataka kwenda Real Madrid huku mkataba wake ukiwa umebakia mwaka mmoja tu.Huu ni ujinga kwasababu kuendelea kubaki na mchezaji asiyetaka kuchezea timu huku unamlipa mshahara sidhani kama ni jambo jema.
Tatu Rear Madrid tayari wameshampata mtu wao kwasababu ya uzembe wa managers kushindwa kuangalia potential ya mchezaji.
Nne ni vyema Man siku za usoni ikaacha kusajili wavhezaji wa spain kwasababu kiwango kikienda juu wanakimbilia Real au Barcelona.
Tano kuendelea na DDG ni hasara kubwa anaweza kuharibu moral ya wachezaji wengine na bad image ya club.