Nasali sana, De Gea aondoke hapo, ikifika 2nd september hajaondoka, ntaumia sana..hope Madrid can Pull this up..
We Dada unakumbuka mlinipasua kichwa vip Leo mnatoka??
Yaani our motto ni point 3 mbele kwa mbele.......pole sana kumbe nilikupasua kichwa? Ila nilikupoza pia, tulikuwa tunakufundisha kucheza kigodoro...........hahaha
De Gea hata akiondoka leo The United itaendelea kuwepo, hakuna pengo lake, mimi nadhani ungefurahi zaidi angekuja kuondoka kwa free ndo ungepata la kuongea........ nakuona msimu mpya umekuja kwa kasi na Man U Ngoja nitamtafute mkali wenu huyu ndo anawaweza wazee wa YNWA.......... Nzi njoo kipande hii sikuhizi MosDef anasumbua sana Jamvi hili....lol
Nasali sana, De Gea aondoke hapo, ikifika 2nd september hajaondoka, ntaumia sana..hope Madrid can Pull this up..
Suala la DDG nadhani limekuwa handle vibaya na Moyes na mrith wake LvG.
Mosi ni ajabu Moyes alikimbilia kumpatia mkataba mpya Nani lakini akasahau kufunga mkataba mpya na DDG !
Pili sioni mantiki ya kuendelea na DDG wakati anataka kwenda Real Madrid huku mkataba wake ukiwa umebakia mwaka mmoja tu.Huu ni ujinga kwasababu kuendelea kubaki na mchezaji asiyetaka kuchezea timu huku unamlipa mshahara sidhani kama ni jambo jema.
Tatu Rear Madrid tayari wameshampata mtu wao kwasababu ya uzembe wa managers kushindwa kuangalia potential ya mchezaji.
Nne ni vyema Man siku za usoni ikaacha kusajili wavhezaji wa spain kwasababu kiwango kikienda juu wanakimbilia Real au Barcelona.
Tano kuendelea na DDG ni hasara kubwa anaweza kuharibu moral ya wachezaji wengine na bad image ya club.
Mechi sangapi
Mechi sangapi
Mbona hamtupi vikosi,mmepooza umu sana,,,hii siyo man u ninayoijua mimi.#.alinselema...#mchakamchaka
Ningependa sana CH14 angeanza hii gemu nimemiss sana huyu kijanaAdnan nafikiri atakipiga pembeni, huku Mata akipiga kumi...au wanaweza kuwa wanabadilishana...
Kitu kizuri ni kuwa Depay atacheza kwenye left wing, nafasi anayoimudu zaidi...angalau LvG kakubali makosa yake...
Ningependa sana CH14 angeanza hii gemu nimemiss sana huyu kijana