Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Gary Neville leo uchochoro.....ana bahati ile penati (red card)...
 
Ulitaka nani aanze?
Mjomba si umeona kulia kwa fletcher na gnev tunavyopwaya... I hope hii itakuwa mechi ya mwisho ya gnev ndani ya jezi ya man utd jamaa ni liability. Naona boss kabadilisha formation hapa tuone kama itafanya kazi.
 
Mjomba si umeona kulia kwa fletcher na gnev tunavyopwaya... I hope hii itakuwa mechi ya mwisho ya gnev ndani ya jezi ya man utd jamaa ni liability. Naona boss kabadilisha formation hapa tuone kama itafanya kazi.

80% ya pasi zetu zimekuwa INCOMPLETE....kazi kwelkweli. Hyo Neville leo aibu. Obetan naye pasi za mwisho leo anaharibu kishenzi. Hope 2nd half tutarud kivingine.
 
Hahahahaaa! penati mlionyimwa mmepewa, mmekosa..twende kazi. Waaaat a poor penati. Hata Mwanangu Eliza anafunga.
 
Hii mechi sasa tushindwe wenyewe....Naona Fabio anaingia.
 
..haya sasa, mnao sema twabebwa na marefa, muongee na hyo deneied pen (hand ball).
 
Mkuu inabidi tuongeze goli lingine maana duh si unajua timu yetu mechi za ugenini kimeo.

Timu yenu nzuri.....ila Naona bado mnashikilia Kamba...Si unaona Jamaa wanavyokuja?????
 
Umefuraaaaaaahiiiiii.....haya bana...Mtashinda hii game ....

Hahahaaa! ngoja mpira uishe, si unajua EPL msimu huu ni kama vidonda vya tumbo, mda wwte na popote vinaamka.
 
Phweeeeeeeeeeeeeeeeeeewww......asavali. Preshaa ilikuwa Juuuuuuu!
 
CONGRATULATIONS WAPINAZINI.......May be Gunnerz will do better than u......
 
Big sigh!! Point tatu muhimu kibindoni..Ila mechi ya leo roho ilikuwa juu. Tukutane jumanne. Happy New Year.
 
Big sigh!! Point tatu muhimu kibindoni..Ila mechi ya leo roho ilikuwa juu. Tukutane jumanne. Happy New Year.

Sanaaa. Na huyu Neville ni bora atafutiwe kazi OT msimu ukiisha, hata akiwa meneja wa vifaa hivi itamfaa, soka AACHE!
 
Back
Top Bottom