Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
hapa draw leo au birmingham anashinda.
Kweli adui Muombee NJAA ndo Hii.....
hapa draw leo au birmingham anashinda.
Kweli adui Muombee NJAA ndo Hii.....
wagumu sana hawa birmingham mkuu lol.na sisi tunakuja hapa jumamosi.
That is my boy...BEBA!
Duh yet another draw....Ila refa kaua.. Handball offside everything goes kudadeki....Hawa jamaa walitubana sana.
Hehee nishapoa mkuu ila hawa marefa nao sometimes uwa nawamind sana...Alafu nilishangaa sana lee bowyer bado anacheza duh. Hao watoto hawatonishangaa wakiwaachia muwafunge ata kumi.pole mkuu ndio ukubwa huo.
Scrappy game..najilaumu kwanini nimepoteza masaa 2 ya maisha yangu kuangalia hii mechi