Top four 2015/2016:
1.Liverpool FC
2.Manchester United FC
3.Chelsea FC
4.Arsenal FC
Mje kunibishia May 2016!
Tunataka 4-0 kuonyesha tumejipanga
Nipo njiani kurudi dar sijui kama nitafika salama.
Hii mechi inanifanya niwaze kuwa livescore muda wote.
Utafika salama mkuu....
Nipo upande wako lakini game imekosa ladha...upo poa lakini?
Liverpool hawatakuwa on top four!
Top four 2015/2016:
1.Liverpool FC
2.Manchester United FC
3.Chelsea FC
4.Arsenal FC
Mje kunibishia May 2016!
Asante my kaka,mimi nipo poa kabisa,ladha itakuwa tu so unajua kila timu ina presha ya siku ya kwanza.