Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Maneno ya Rio haya hapa chacha chijui nikusaidie vipi? .....



"The game plan was get in their faces ... ...... .....
"We couldn't afford ... .... they will hurt you because they have quality players all over the park




Mna bahati ya kuwaweka mfukoni waamuzi .... khe khe kheeeeeeeeeee Wenger hana matatizo na mbinu zenu chafu kwani anafahamu mpira kwenu ni zero.


Go figure ..... ..... ..... khe khe kheeeee
 
Sasa hayo maneno mbona umeweka nusu nusu si uweke maneno yote? Wacha1 give it a rest, mpira ni zero ndio maana tunawafunga mechi ya sita mfululizo sasa? Kati ya beautiful football na mpira zero i will pick mpira zero maana wanaleta vikombe ati na wanawaweka mfukoni akina nasri,wilshire, and co. Vipi tukiwafunga tena mtasingizia taa zilikuwa zinawaumiza macho?
 

Mkuu ulisema hayo maneno niliyatoa wapi wakati nakupa ushahidi unaanza krukaruka kimanga tuliza boli mkuu mpira bado ni halftime hiyo ya kutufunga tena ni wapi? Wachezaji wenu wenyewe wanakiri kwamba soka hawawezi ni lazima wafanye fujo ndiyo washinde ...
 
Sir Alex Ferguson turns on Arsène Wenger over pitch comments

• United manager angered by perceived slight on groundstaff

• Scholes unlikely to be fit for Sunday's trip to Chelsea
Sir Alex Ferguson believes Arsène Wenger criticised the Old Trafford pitch to distract attention from Arsenal's performance. Photograph: Matthew Peters/Getty Images Sir Alex Ferguson has hit back at Arsène Wenger's suggestion that the Manchester United pitch was to blame for Arsenal's performance in their 1-0 defeat at Old Trafford on Monday.
Ferguson believes it was a diversion tactic to take the emphasis away from the way, in his words, "we were by far the better team". The United manager is aggrieved by Wenger's remarks, believing them to be an unfair slight on the club's groundstaff.
"I don't think the pitch had anything to do with it," he said. "We were just the better team. The pitch was good, fine. I've no problem with the pitch at all and it was a surprise to everyone that this was mentioned. I don't think anyone can complain about our pitch."
Wenger had spoken at length about the playing surface being the reason why "the technical quality of the game was very average". He went on to describe it as "very bad", saying it was not just uneven but "bouncy and slippery", adding: "The pitch was so poor in my opinion and the game suffered a lot from it." The midfielder, Jack Wilshere, followed it up on his Twitter page , saying: "The pitch was shocking. [United] wanted to stop us playing!"
The irony is that Ferguson has meticulous standards when it comes to the pitch at Old Trafford and has been seen chastising the head groundsman, Tony Sinclair, on occasions when he felt it was not good enough. On this occasion, however, he feels that Wenger has been unfair on Sinclair and the small army of around 110 groundstaff who are employed to look after the grass at Old Trafford as well as United's training ground at Carrington and two youth-team sites in Salford.
The playing surface at Old Trafford was a regularfrequent source of concern to Ferguson in the 1980s and 1990s but it has not been relaid since 2003 and, speaking on Sirius XM's The Football Show, Ferguson reflected on his playing days in Scotland, remembering that "by March, there used to be a furrow up the middle of the pitch that was absolutely barren." He added: "We're spoilt now. The state of the pitches today is fantastic, with all of the drainage and the care they get."
Although Ferguson's irritation with the pitch comments was clear, it does not mask the club's embarrassment that Wenger was targeted, once again, with crude chants. Ferguson had appealed to supporters via his programme notes and in several pre-match interviews to behave better, saying the Arsenal manager "deserves better, much better" and United are at a loss about how to stop it.
A more orthodox problem has manifested itself in the fitness of Paul Scholes, who has missed the last three games with a groin injury and will have more tests this week to see whether he has any chance of returning for Sunday's match against Chelsea at Stamford Bridge. The early diagnosis is that it is unlikely.
Arsenal, meanwhile, will reflect on their run of 11 games without a win against United and Chelsea. "I think the team performance was quite good," Wojciech Szczesny, their goalkeeper, said. "We just didn't get as much luck as United did. They probably had more chances to score but I felt the goal was pretty lucky.
"I don't think Park [Ji-sung] actually meant to head the ball. It just hit him on the head and went into the top corner. With just a little bit more luck we could have got something out of the game but we're still confident we are the top side in the Premier League."

Source:The Guardian

Heshima kwako Wacha 1,

Mkuu ebu peruzi maneno ya hekima na busara kutoka kwa Sir Alex.Halafu punguza jazba kubali Arsenal haina ubavu wa kuishinda Manutd.
 
BTW uwanjani huwa anaingia Mr Bean hadi alalamikia pitch?, mbn sijamsikia mchezaj hata mmoja akilalamikia pitch isipokuwa yy alikuwa nje katulizana kwenye viti vya sofa kule?.
AW sifuri kabisa.
 
Heshima kwako Wacha 1,

Mkuu ebu peruzi maneno ya hekima na busara kutoka kwa Sir Alex.Halafu punguza jazba kubali Arsenal haina ubavu wa kuishinda Manutd.





Does he look like ana maneno ya hekima? Ranting boy!


Khe khe khekhe eeeeee
 
Ushahidi uliochakachuliwa? For all i know hayo maneno anaweza akawa aliyasema mwaka jana/juzi.
Weka maneno yote na tarehe yaliyosemwa tujadili. Mkuu mpaka sasa old trafford tumedrop point mbili tu nyie hapo imarati kwenye pitch nzuri aka home of football -bila makombe kabatini- mmedrop ngapi?
 
Anderson pens United extenion

Wednesday 15th December 2010 13:50





Anderson: New contract agreed



Brazilian midfielder Anderson has ended speculation over his future by extending his Manchester United contract until June 2015.
The club announced on Wednesday afternoon the former Porto player has penned a four-and-a-half-year extension having returned from long-term injury problems this season.
Anderson, 22, told the club's website: "This is the best club to be at and I would like to thank everyone for the great support I have received over the years.
"I am looking forward to winning many more trophies with this club and I am so pleased to have signed a new contract."
Anderson took time to settle in Manchester having joined from Porto in 2007, where he was the Portuguese side's key player despite still being in his teens.
However, the sometime Brazil international has produced more consistent performances this season and has been rewarded with the new deal.
United boss Sir Alex Ferguson said: "We are delighted Anderson has signed a new contract.
"Anderson has developed tremendously since joining the club and he has fantastic potential at only 22 years of age, he is going to be a really top player."
 





Khe khe kheeeeeeeeee
 
Waungwana tunacheza na marseille kwenye round ya mtoano ya ucl. Hawa jamaa tulicheza nao mwaka 99 nadhani.
 
Waungwana tunacheza na marseille kwenye round ya mtoano ya ucl. Hawa jamaa tulicheza nao mwaka 99 nadhani.
Gallas aliwafunga bao la kichwa man utd pale jijini Marseilles 1-0 1999-2000 ktk hatua ya kwanza halafu unaenda 16 bora tena makundi,ndio mwaka ambao timu ziliongezwa toka 24 hadi 32,mechi ya kwanza man utd alishinda 2-1,unamkumbuka Bagayoko?sio Bakayoko!
 
Nawatakia wadau wote wa soka Christmas njema na mwaka 2011 wenye mafanikio.

Wazee wote wa darajani Stamford, Rev Masa, EL NINO, Rev Kishoka, Sanda Matuta, Ab-Titchaz, AljuniorTz na Invisible, bila kusahau wakongwe wa Old Trafford, Manda, Belo, Eqlypz, Idimi na Ngongo, pia washika bunduki wa Emirates, Arsene Wenger, Mbu, Kweli, Wacha1, Balantanda, Baba Mkubwa, Genekai, Questt, Bubu Ataka Kusema na Ng'wanza Madaso,....mzee Shedafa wa WHL na Acid wa Anfield na wengine wote ambao sikuweza kuwakumbuka kwenye post hii, I wish you and your loved ones a Merry Christmas and Happy New Year.
 
Na wewe pia peasant na wadau wote old trafford merry christmas.
 
Hongereni...ingawaje ningependa leo kuwaona Sunderland wanapunguza speed yenu ama kwa kuwafunga au kutoa draw....dua la kuku :whoo:...lakini SAF na wanawe huwa hawafanyi makosa wakishaushika usukani.
 
Combination ya Beba, Runi na Giggs first half imekuwa very impressive, hope will keep the dame momentum till the dawn of the season.
HT; We are one nil up! Goooooo United!
 
Hii game tulitakiwa tuwe angalau 3-0 by halftime...Natumaini hatutokuja kujutia missed chances baadaye.
 
I cant wait to hear from Bebatov HATERS....2-0...dk ya 60.
 
I cant wait to hear from Bebatov HATERS....2-0...dk ya 60.
Hehehe, tatizo la berbahaters wanaangalia anapokuwa na bad day/game tu... Berbatov akiwa na supply nzuri ya mpira kutoka midfield he is a beast.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…