Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahhaha!!!! Utachekwa na dunia....uko wapi mwenzetu? Hujui timu gani sasahivi yenye udhamini wa nguvu kuliko zote?.. cute b njoo mama watu wanauliza ati tumepata shavu la Adidas lini?

Hahahaaaa anasoma habari za fesibukuuu
 
Last edited by a moderator:
Unalipa book startimes unacheki game au? Na hatua n zp nielekezeni bandugu
 
ronaldo.net ndiyo balaa kama una internet connection iliyokaa vyema.

Kabisa mkuu hii imetulia

Nawaangalia vijana kupitia link 18 kitu kimetulia no kuganda wala nini...

Uzuri limk ziko kibao ikizingua moja unahamia nyingine
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Reports zinatembea kuwa LVG kawaambia wachezaji dressing room kabla ya mechi kuwa AdM anaenda PSG

Huenda akawa opponent wetu next preseason game
 
Back
Top Bottom