Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Majeraha uunh??
We jamaa kwa uzwazwa wako ns ukichomi bila shaka Southampton "B" FC
Majeraha uunh??
Sasa apo ni nimedhihirisha utoto wako complete.
Too young na akili bado za kitoto.
Kwani enzi za furgason tulikuwa hatufungwi? Yaan wewe huna hoja zenye mashiko kula kona
Kwani labda wewe ulitakaje? Hivi unajua Moyes aliiacha timu katika hali gani? msimu ulipoanza tulikuwa wapi?,mpaka hapo tulipoishia ilikuwaje?..........kupokea kipigo toka timu ndogo jambo la kawaida Sababu mpira ni mashindano, vipi hapo Chelsea ilikula mkono na ni mabigwa, Liverpool ilikula Sita.....nyingine malizia mwenyewe. .....
kwann rubaman?
Enz za furgerson mlikua mnafungwa lakini alianza msimu na kumaliza msimu akichukua ubingwa na timu mbovu ambayo hakufikiria new signings.... Aliweza kumove mountains na kikosi kidogo ambacho kilidhihirisha sifa ya man u kua ni wachezaji wasio kata tamaa lakini sasa imekua ilikuaga simply becoz bench la ufund limefariki dunia
Ni mshabiki wa man united
kwann rubaman?
update please
Kijana tulia, timu imeanda go transition period..mambo mengi yamebadilika bwana mdogo.. inahitaji muda kujenga timu sio kupitia shortcut kwamba mara moja tuu then umepata mafanikio..
Kama wewe ni mwana man u mwenzetu bora uwe mvumilivu..Season
2015/16 mybe timu inaweza kufanya vizuri..
uache maneno ya shombo
Sema guys huyu kiungo mnasemaje #Schneiderlin
Ni mshabiki wa man united
Sure ila nafikiri unaikumbuka leistercity vizur...current season zile 5 sasa ukuanza kutoa dozi anza na hao kina leistercity
Enz za furgerson mlikua mnafungwa lakini alianza msimu na kumaliza msimu akichukua ubingwa na timu mbovu ambayo hakufikiria new signings.... Aliweza kumove mountains na kikosi kidogo ambacho kilidhihirisha sifa ya man u kua ni wachezaji wasio kata tamaa lakini sasa imekua ilikuaga simply becoz bench la ufund limefariki dunia
Post count ata ziwe trillions haiwezekan kuzuia hoja yangu kua Manchester ni mbovu kwa vigezo tajwa..... I thought wengi wa makamamasi ni kua na pua mkubwa.... Hahaha among the things nimecheka yani eti post count 32 pouwleeee this is Jf n that is man u wabovu
wingi wa makamasi. jifunze basi kuandika ili twende sawa maanake hapa tunatumia maandishi.