Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Asante sana,Hii kama watabisha tena basi tena ni kuwapiga magoli tu ndo watatuelewa.
Dada everlenk kuna hawa jamaa wanaitwa Manchester City ni balaa...nahisi Serikali ya Uingereza huwa inapeleka msaada wa Chakula na huduma za kijamii
Ni kambi ya wazee aisee