kwetu sisi mashabiki mafanikio ya klabu ni kutwaa mataji,hayo masuala ya fedha sijui kitu sisi hayatuhusu.Kuhusu kutofanikiwa na LVH namaanisha hatutatwaa mataji chini ya LVG.
Yani ni mara kumi angebaki moyes akapewa fungu la usajili kuliko hyu bwana mashavu...yan simkubali tuu huyu mzee
Huu utani sasa...
Huyo jamaa atakua kaanza kuishabikia man United misimu miwili nyuma akitikea Liver pool.
Huu utani sasa...
Kocha ana influence pia kupata aina ya wachezaji Moyes angehamisha wachezaji wa Everton pale,angalia wachezaji anaosajili Rodgers pale Liverpool
Kwa maana hiyo unampendekeza DM kuliko LVG kwasababu yakuwa na draft nzuri ya wachezaji aliokuwa anataka kuwasajili??Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.
Mkuu mi ninachojua van gaal pale kaja kwa sababu kuu mbili, moja ni kazi yake ya ukocha as ussual pili ni kwajili ya kumpa uzoefu na maarifa giggs soon baada ya van gaal kuondoka giggs ndie atachukua nafasi, kama tujuavo giggs bado ni mchanga kiukocha, ilikua ni vigumu kuwapa nafasi watu kama Simeon ambao 98 tulikua tunawaona kombe LA dunia na jezi za Argentine eti Leo aje kumpa maujanja giggs kwa club kubwa kama Manchester, kitendo cha kumlemta van gaal kwa sasa sioni kama ni Shida kiivo, ni kocha mzoefu na mwenye mafanikio karibu kila timu anayofundisha,
Unafikiri kwa nn wasingemleta mou baada ya moyes kuvurunda wakati dream za mou ilikua ni kuja kufundisha Manchester siku moja? Sio kwamba hawakujua kuwa huyu mzee ana maamuzi ya aina Yake, but walijua kuwa utu uzima dawa, hebu angalia hata wakati wa mechi jinsi anavokua bize akimuelekeza giggs,
But all in all what we need is trophy and van gaal is the right person for that as long as we are Manchester united
#GGMU
Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.
umesema vizuri,lakini hoaja ni je;Man utd imekuwa tayari kurisk success yake tuliyoizoea ya kutwaa mataji at the expense ya kumpa Gigs uzoefu?what about fans?are we ready for that?(for me I am not ready),what about sponsors wanaomwaga mapesa yao klabuni je wako tayari kwa hilo?
Na hao wakija na wasipo perform utasemaje?
What if LVG does a good job than them?
with a serious note,I prefer Moyes to LVG
Moyes alikuwa na draft nzuri tu ya wachezaji aliotaka kuwasajili,sisemi kwamba Moyes ni kocha mzuri sana kuwepo Man utd ila ninachosema mimi ni bora Moyes kuliko LVG.
calibre ya Diego Simeon,Jurgen Klop,Antonio Konte etc but not LVG...never...
Hahaha kimeanza kunuka humu kabla ligi haijaanzaPlease Nakapanya and #allMANUfamily let us have a positive attitude to our team, in The United we trust, we will make it, let our best wishes be with LVG so that our dreams come true. Never say failures, Confess Victory always.....GGMU
Doh! Yaani hao unawaweka levo moja na LvG??? Kwa yapi waliyoyafanya zaidi yake? Kwani wewe kocha mzuri unampimaje?