ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
kwa nini ulijitoa
Massage nyingi zilikuwa zina ingia kila wakati. Sim ilikuwa busy sana
kwa nini ulijitoa
Hadi avae jersey ndo nitaamini!!
Widespread Italian reports now that Darmian is done Torino Granata wish him well for the rest of his career.
Mimi ni MANCHESTER UNITED ila kuanzia leo nahamia FC BARCELONA timu bora
Msimu huu kutoka kappa nakataa!
Lazima mtoke kapa
Watu wanajua kukurupuka pasipo kuchuja pumba au mashudu...ww waache tu..Ana authority gani huyo mpaka ukimbilie kupost alichokisema?!?
Ametumia vigezo gani katika kutoa jumuisho hilo?!?
sielewi kwanini tunakimbilia kusajili RB wakati msambaa yupo and we have alot of positions to worry. CB,CM and ST![]()
Sasa mkuu unadhani tatizo tulilo nalo kwenye striking force ni sawa na kwenye RB?? Valencia hyo sio namba yake halafu Rafael anaondoka, kuhusu CB otamend/Ramos mmoja wapo yupo njiani, kuhusu CM Morgan ni wetu yule
valencia sio natural number yake lakini amecheza hapo msimu mzima, ferguson pia alikua anamtumia hapo in some occasions, statistics za valencia zimekaa vizuri kuliko huyo tunayetaka kumsajili. mi naona bora tumuache msambaa back up atakua jones. tukinunua rb na kumsogeza valencia mbele is just like adding problems kwenye kuchagua starting 11 maana tuna ma winger wengi di maria young janujaz depay achalia mbali mata ambaye van gaal alimtumia kama right wing last season
Valencia hio sio namba yake na kuna makosa amefanya tumefungwa mechi muhimu sana. Na hayo makosa ameyafanya kwasababu sio defender ni winger kwahio hana instinct za defender huwa anajisahau,huwezi kumlaumu ila anahitajika natural defender. Nasikitika sana kama Rafael atauzwa, LVG ananiboa sana na sioni man utd ikifanikiwa chini yake.
makosa yapi mkuu?? au unazungumzia mechi ya chelsea?? cut the guy some slack kila mchezaji anafanya makosa... too bad ni kwamba the guy works so hard and i dont see him playing anywhere else than the rb position. ma winger wapo wengi sana
makosa yapi mkuu?? au unazungumzia mechi ya chelsea?? cut the guy some slack kila mchezaji anafanya makosa... too bad ni kwamba the guy works so hard and i dont see him playing anywhere else than the rb position. ma winger wapo wengi sana
kafanya makosa mengi kwasababu sio natural righ back, hamna asiejua kuwa anafanyakazi kama punda.
mkuu tatizo mashabiki wa man u tumekua tukibetweka na rumours circulating around the medias. tunadhani man u wanaweza kusajili kikosi kizima which is not true. i can see not more than three more big signings ahead. tujiulize je tunahitaji kusajili position gani. maana defensive midfielder is no debate hapo lazima tupate mbadala wa carrick. centre back pia lazima tusajili.. and with van persie probably going we need a ST. Rb will be my fourth opinion.. lakini hayo ni mawazo yangu tu
mkuu tatizo mashabiki wa man u tumekua tukibetweka na rumours circulating around the medias. tunadhani man u wanaweza kusajili kikosi kizima which is not true. i can see not more than three more big signings ahead. tujiulize je tunahitaji kusajili position gani. maana defensive midfielder is no debate hapo lazima tupate mbadala wa carrick. centre back pia lazima tusajili.. and with van persie probably going we need a ST. Rb will be my fourth opinion.. lakini hayo ni mawazo yangu tu