Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, hii si ndo alipiga bonge la shuti pale OT na mpira kwenda wavuni!? Man U ya kipindi hiko acha kabisa Kaka!!!
Pale kati ukimkuta Kaka Scholes lazima upoteeeeeeee!!! Nyuma wanalindwa na Vidic na Rio, usinikumbushe Mkuu. Ila hii Mido Scholes ni moja ya viungo bora kabisa waliowahi kutokea. Hataachana sana na Modric but Scholes alikuwa mzuri sana, anapiga mashuti na mipira mirefu kwake ni kawaida sana. Asante sana kwa kumbukumbu!!!

Modric amkaribie Scholes?! Matusi hayo! La masia kwenyewe kina xavi walikuwa wanamsoma scholes!
 
ImageUploadedByJamiiForums1436252782.388996.jpg

Good Luck Nani
 
Manchester United inakaribia kumsajili beki kiraka (versatile defender) Matteo Darmian kutoka Torino ya Italia, source: Sky sports.
 
Mimi sioni umuhimu wa ramos but kama naeza mshauri van gal asajili beki kijana atakae tumika kwa muda mrefu..
 
mabeki vijana tunao wengi sana kaka, jones, McNair, bracket, wote hao wanahitaji kiongozi,

Lakin hata kama atakuwa viongozi ila atakuwa kama van parsie kwamba anatumika miaka miwili alaf kwisha habari yake
 
naomba kuuliza,je tukiwa kama wadau wa MAN UTD je hatuna group la whatsapp ili tuweze kubadilishana mawazo na huko pia!! #samahanin wakuu kama ntakua nimewaudhi!!
 
matteo-darmian-italy-torino_3322526.jpg


Matteo Darmian in action for Italy during the Euro 2016 Qualifier against Bulgaria.




Manchester United have agreed a fee with Torino for Italy international right-back Matteo Darmian, according to Sky Italia sources.




Talks between the clubs have been ongoing and, after rejecting United's first two bids, sources understand United have now met an asking price of £12.7m for the prized defender.
Darmian is a versatile defender who is capable of playing in either full-back spot, though his favoured position is on the right, but also has experience at centre-half and at 6ft tall offers a strong aerial presence.
Louis van Gaal was acutely aware of United's vulnerability at set-pieces last season and it cost the team on more than one occasion, including in the 1-1 draw with Chelsea in October, when 5ft 7in Rafael was left marking Didier Drogba at a corner with costly results.
 
Back
Top Bottom