Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

c170d97d12f5f374278e597c19d7d92b.jpg
 
Man United's starting lineup if they sign all their transfer targets...

11537812_977793322279583_9016989987323788754_n.jpg


 
£13 Mill wanazotaka kutoa Madrid kumpata De Gea kweli ni thamani yake,na je Man U wataikubali hyo offer?
 
BREAKING: Fernebache have confirmed the signing of Manchester United winger Nani for a reported fee of £7M. #MUFC
 
£13 Mill wanazotaka kutoa Madrid kumpata De Gea kweli ni thamani yake,na je Man U wataikubali hyo offer?

Kama walivyosema wadau...United is on the losing end. De Gea kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba; na kibaya zaidi yeye anataka kuondoka sasa. Kama United wakitilia ngumu sasa, ina maana mwakani ataondoka bure.

Hapa la msingi ni kuhakikisha Edo na timu yake wanacheza karata zao vizuri, ili deal liwe angalau win-win kwa wote.
 
Kama walivyosema wadau...United is on the losing end. De Gea kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba; na kibaya zaidi yeye anataka kuondoka sasa. Kama United wakitilia ngumu sasa, ina maana mwakani ataondoka bure.

Hapa la msingi ni kuhakikisha Edo na timu yake wanacheza karata zao vizuri, ili deal liwe angalau win-win kwa wote.

Na hapo ndo nauona ugumu wa Man U kuwin hili deal,sijui watafanyaje.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kama walivyosema wadau...United is on the losing end. De Gea kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba; na kibaya zaidi yeye anataka kuondoka sasa. Kama United wakitilia ngumu sasa, ina maana mwakani ataondoka bure.

Hapa la msingi ni kuhakikisha Edo na timu yake wanacheza karata zao vizuri, ili deal liwe angalau win-win kwa wote.

Mistake kubwa ilifanyika kutokumuongezea De Gea contract baada ya SAF kuondoka.Moyes alimuongezea mkataba Rooney akasahau De Gea ni asset kubwa,now De Gea angeuzwa hata £30-40 m hapa Madrid wangekuwa hawana ujanja
 
Nyingine hiyo
 

Attachments

  • 1435238890354.jpg
    1435238890354.jpg
    35.9 KB · Views: 160
Nadhani David Moyes anastahili lawama kubwa sana ni kwanini alimpatia mkataba Nani lakini hakufanya hivyo kwa De Gea.

Kama walivyosema wadau...United is on the losing end. De Gea kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba; na kibaya zaidi yeye anataka kuondoka sasa. Kama United wakitilia ngumu sasa, ina maana mwakani ataondoka bure.

Hapa la msingi ni kuhakikisha Edo na timu yake wanacheza karata zao vizuri, ili deal liwe angalau win-win kwa wote.
 
Back
Top Bottom