Pongezi kwa kujibebea pointi 3 muhimu, lakini bado sijakuwa convinced kwamba bad patch kwenu imepita, wachezaji 9 lakini bado haikuwa walk - over, mwaka huu naona ligi haina mwenyewe, sio Chelsea, Utd, Arsenal, Spurs wala City wote tunasuasua tu.
Pongezi kwa kujibebea pointi 3 muhimu, lakini bado sijakuwa convinced kwamba bad patch kwenu imepita, wachezaji 9 lakini bado haikuwa walk - over, mwaka huu naona ligi haina mwenyewe, sio Chelsea, Utd, Arsenal, Spurs wala City wote tunasuasua tu.
Ahsante.
Mkuu ingawa tuna record nzuri dhid ya Wigan, still mechi kama hii tulitakiwa tuimalize kipindi cha kwanza lakini kama ilivyo kawaida ya timu yangu msimu huu tunacheza kwa kusuasua.
Ni kweli hatujafire all cylinders na hiki kitu kinanipa ugonjwa wa moyo lol!! pamoja na kusuasua kwetu tuko sawa kwa point na chelsea ambao walianza kwa kishindo na walikuwa kwenye top form mpaka say wiki iliyopita. All in all msimu bado ni mrefu lolote linaweza kutokea kati ya wiki ijayo mpaka May.
Hongera zenu kwa kutukamata kwa points. Naona ligi msimu huu itakuwa ngumu zaidi ya msimu jana, kila timu inpoteza points katika hali isiyo ya kawaida.
Hahahaaa!.. natafuta ile picha ya Le Professor Wenger, a.k.a. Mr Bean..a.k.a. Mkinga Bahili akibamiza chupa ya maji chini leo......nyingine kama hii kashika tama kama kura zake zimechakachuliwa. Lol!