Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una akili sana ukiwa na ukuta mzuri pengo la DDG halitoonekana kabisa.

Usijali kila kitu na enzi yake tutampata Musa mwingine...... Mimi ninachokiona tuimarishe tu safu yetu ya ulinzi kina Smalling si wa kuwategemea sana japo wamejitahidi,tukiwa na ukuta uliosimama hata majukumu kwa kipa yanapungua, kati pale Carrick apate mwenzake bunduki pale mbele iongezwe jamani United tutatisha......
 
Hahahahaaa, aya bhana

Hadi anasaheme dili nono la mkwanja mrefu ambao angekuwa ndo kipa anayelipwa zaidi kuliko wote kisa puchi!! Hahahaha!!! Wanawake juu!!!......ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai.....
 
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!

Niniiii? Ndo sababu??? Hahahaa kweli P ni hatar
 
Nikiziangalia timu zingine kama Barcelona, Bayern Munich, RMA, PSG, ATM hata Juventus n.k
nikilinganisha na Man U yetu ya kina Blacket naona tunahitaji watu wa kazi sana kuiweka timu yetu kiushindani vinginevyo tukikutana na hawa jamaa tutaishia aibu.

mkuu mi ninacho ona upate CB jambazi lenye roho mbaya (otamend/hummels) mmoja wapo wa kumuongoza smalling, tupate RB wakusaidiana na valencia (tunahusishwa na van der weil) tupate DM mzuri mwenye mapafu ya mbwa kusaidiana na carick 7bu ya umri wake na majeruhi, upande wa wingers tupo vzr na kama RVP ataondoka itabidi tupate mbadala wake kusaidiana na rooney mbele, CL still tupo far lakn PL we can compete na man city na chelsea, arsenal wenyewe niwashiri tu hatuna haja nao
 
mkuu mi ninacho ona upate CB jambazi lenye roho mbaya (otamend/hummels) mmoja wapo wa kumuongoza smalling, tupate RB wakusaidiana na valencia (tunahusishwa na van der weil) tupate DM mzuri mwenye mapafu ya mbwa kusaidiana na carick 7bu ya umri wake na majeruhi, upande wa wingers tupo vzr na kama RVP ataondoka itabidi tupate mbadala wake kusaidiana na rooney mbele, CL still tupo far lakn PL we can compete na man city na chelsea, arsenal wenyewe niwashiri tu hatuna haja nao

Like like like..... Hapa wewe ndo umeongea kisayansi ya soka vizuri...... Mimi nakwambia hata CL kwenyewe huko tutapita tukifanya usajili wa maana tukaongeza ntu sahihi United hatukamatiki......... Si unaona tu na kaudhaifu ketu tulitishia amani sana tukikamilika itakuwaje??......... Hivi zile friend match zinaanza lini tuziangalie kwa umakini kama makosa yetu yamerekebishwa...... Msimu ujao naskia harufu ya kombe kabisaa sijui ni lipi lakini naliona.......
 
Hawa RMA baada ya kuvuna matunda ya kijana wetu CR7 baadae kijana Chicharito naye akawang'arisha robo fainali sasa wameamua kutufanya sisi academy yao.

Hahahaha na kweli sie ndo academy yao hv sahv van gaal anamuwinda nani maana sjapata update za man u kwa mda kdg
 
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!

Hahahahhahaha oyeee
 
Afu mamy ngoja nishtaki.
Ile kazi ya kudeal na Ntuzu ishakuwa ngumu kwangu.
Ntuzu anataka ukimwelewesha kidogo umpe na busu la kumezea mi siez tena


Kwani busu linashida gani na wewe mrembo? Lete hilo busu
 

Attachments

  • 1433929760887.jpg
    1433929760887.jpg
    14.8 KB · Views: 84
Last edited by a moderator:
Naskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu
 
Like like like..... Hapa wewe ndo umeongea kisayansi ya soka vizuri...... Mimi nakwambia hata CL kwenyewe huko tutapita tukifanya usajili wa maana tukaongeza ntu sahihi United hatukamatiki......... Si unaona tu na kaudhaifu ketu tulitishia amani sana tukikamilika itakuwaje??......... Hivi zile friend match zinaanza lini tuziangalie kwa umakini kama makosa yetu yamerekebishwa...... Msimu ujao naskia harufu ya kombe kabisaa sijui ni lipi lakini naliona.......

friend match tuna anza tar 17/7, tar 24/7 kama kumbukumbu yngu ipo sawa tutacheza na barcelona itakua ni friendmatch ya pili
 
Hahahaha na kweli sie ndo academy yao hv sahv van gaal anamuwinda nani maana sjapata update za man u kwa mda kdg

kuhusu updates mkuu kila siku tunahusishwa na watu wapya na cha ajabu hadi haters wanakodolea macho tuna mtaka nani, transfers za man u zinafuatiliwa na kila mtu hata kuliko transfer za timu zao, we pitia hapa kila siku utakua unazipata
 
Naskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu

tetesi zake zimetulia kdgo kwa sasa, ila mara ya mwisho ilionekana ndio anaenda huko,
wakala wake (mendez) alivoulizwa kuhusu falcao kuenda chelsea alisema "falcao anaweza kuenda timu yoyote isipokua city na liverpool"
 
kuhusu updates mkuu kila siku tunahusishwa na watu wapya na cha ajabu hadi haters wanakodolea macho tuna mtaka nani, transfers za man u zinafuatiliwa na kila mtu hata kuliko transfer za timu zao, we pitia hapa kila siku utakua unazipata

Amen to that mkuu nmefanya kusubscribe kabsa. sisi ndo tunapendwa sana had na haters Lazma watuongelee GGMU natamani irud man u ileee ya kina scholes, giggs, Beckham, keane hao tu walifanyaga kina viera,henry, beckamp wapate shda maskini
 
Naskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu

Wengi wanaongea hivyo kwa sababu Agent wa Mourinho ndo huyo huyo Agent wa Falcao...... Sidhani kama ni kweli anahitajika kule ....
 
Back
Top Bottom