Unamuongelea Dan Alves?
Kama ni huyu kaongeza mkataba pale nou camp hadi 2018.
Yaah. Ndo huyo..
Ila tutajenga tuu fc ya ukweli
Unamuongelea Dan Alves?
Kama ni huyu kaongeza mkataba pale nou camp hadi 2018.
Hivi upande wa pili kuna sport ladies?
Wacha aende kila jambo na wakati wake......... Hofu yangu aangalie tu bench lisimuhusu maana kipa wa RM (jina limetoka uzee huu sasa) kasema anafurahi DDG kwenda RM ila bado na yy anataka aendelee kuitumikia club yake na ni wakati wake mzuri wa kufanya vizuri zaidi kuliko kipind chote kile,anafurahi uwepo wa DDG utakuwa changamoto kwake........ Sasa hapo kuna nini tena km benchi haliend kumuhusu?
Vipi yule wa beki wa barca una taarifa zake nilisikia anakuja man u..
Afu mamy ngoja nishtaki.
Ile kazi ya kudeal na Ntuzu ishakuwa ngumu kwangu.
Ntuzu anataka ukimwelewesha kidogo umpe na busu la kumezea mi siez tena
Hawa RMA baada ya kuvuna matunda ya kijana wetu CR7 baadae kijana Chicharito naye akawang'arisha robo fainali sasa wameamua kutufanya sisi academy yao.
Wacha aende kila jambo na wakati wake......... Hofu yangu aangalie tu bench lisimuhusu maana kipa wa RM (jina limetoka uzee huu sasa) kasema anafurahi DDG kwenda RM ila bado na yy anataka aendelee kuitumikia club yake na ni wakati wake mzuri wa kufanya vizuri zaidi kuliko kipind chote kile,anafurahi uwepo wa DDG utakuwa changamoto kwake........ Sasa hapo kuna nini tena km benchi haliend kumuhusu?
wapuuzi sana wale jamaa, hawajui kumthamini mchezaji akiwa low, wenyewe wanataka mastaa tu, nasikia wanamtaka na morata tena, nina wasi wasi na depay kama ata shine utd watamchukua kirahisi kama de gea maana yule dogo ni madrid damu (depay)
wapuuzi sana wale jamaa, hawajui kumthamini mchezaji akiwa low, wenyewe wanataka mastaa tu, nasikia wanamtaka na morata tena, nina wasi wasi na depay kama ata shine utd watamchukua kirahisi kama de gea maana yule dogo ni madrid damu (depay)
msimu wa kwanza wanaweza wakagawana mechi, vyombo vya habari jana vimeripoti jamaa kama hawaelewani flani hvi maana hata gari zao walipaki mbali mbali, wakati wakufika mazoezini walipotezeana kama hawafahamiani
msimu wa kwanza wanaweza wakagawana mechi, vyombo vya habari jana vimeripoti jamaa kama hawaelewani flani hvi maana hata gari zao walipaki mbali mbali, wakati wakufika mazoezini walipotezeana kama hawafahamiani
Wacha aende kila jambo na wakati wake......... Hofu yangu aangalie tu bench lisimuhusu maana kipa wa RM (jina limetoka uzee huu sasa) kasema anafurahi DDG kwenda RM ila bado na yy anataka aendelee kuitumikia club yake na ni wakati wake mzuri wa kufanya vizuri zaidi kuliko kipind chote kile,anafurahi uwepo wa DDG utakuwa changamoto kwake........ Sasa hapo kuna nini tena km benchi haliend kumuhusu?
Hahahaha nimecheka hii post yako mchepuko wako umekuwa wapuuuzi eeee!!!!........yaani huyu dogo Depay sijui,hivi mkataba wake ni wa muda gani?
Hope mzee atatutendea haki kwa kumreplace na Hugo Lloris. Tofauti na hapo tutaumizwa sana. De gea ndiye katupeleka CL.
Hivi deal iliyokamilika kwetu ni ya M. Depay pekee au kuna zingine?
Mimi natamani benchi limuhusu ili aache kuruka ruka kama maharwage yanayo tokota
Ila namkubali sana
Usijali kila kitu na enzi yake tutampata Musa mwingine...... Mimi ninachokiona tuimarishe tu safu yetu ya ulinzi kina Smalling si wa kuwategemea sana japo wamejitahidi,tukiwa na ukuta uliosimama hata majukumu kwa kipa yanapungua, kati pale Carrick apate mwenzake bunduki pale mbele iongezwe jamani United tutatisha......
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!
Nikiziangalia timu zingine kama Barcelona, Bayern Munich, RMA, PSG, ATM hata Juventus n.k
nikilinganisha na Man U yetu ya kina Blacket naona tunahitaji watu wa kazi sana kuiweka timu yetu kiushindani vinginevyo tukikutana na hawa jamaa tutaishia aibu.