Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizo tetesi zipo sn na Mourinho pia alinukuliwa akihitaji huduma ya Falcao kwa msimu ujao lkn bado haijathibitika! Ngoja tusubiri tuone!

Wewe unaona atawafaa au ndo vile coz baba kasema.....lol
 
Wewe unaona atawafaa au ndo vile coz baba kasema.....lol


Falcao wakati akiwa ATM, alikua mzuri sn lkn alipokua Ufaransa hakufanya vzr sn. Amekuja ManU majeruhi yakamuandama sn na ukiangalia LvG alikua akijaribu kikosi pamoja na mfumo upi atumie. Hizi sababu zilimfanya Falcao asipate nafasi ya kucheza sn! Kwahiyo hakuweza kuonyesha makali Yake ingawa ndani ya moyo wake alikua na dhamira ya kupambana hasa! Na pia labda wachezaji wenzake kwa namna moja au ingine walikua wanamuangusha! Lkn km asipoandamwa na majeruhi na pia akaweza kwenda sanjari na mfumo Wa Chelsea pamoja na wachezaji Wa Chelsea kumpa ushirikiano mzuri basi anaweza kurudisha makali Yake iwapo atakuja darajani! Lkn km ndio hivi hivi alivyo kwa sasa basi ni bora Ata ya Remy kuliko Falcao!
 
Lloris | "am staying calm and seeing how things develop, i want to participate in CL and rub shoulders with the biggest european teams"
 
Falcao wakati akiwa ATM, alikua mzuri sn lkn alipokua Ufaransa hakufanya vzr sn. Amekuja ManU majeruhi yakamuandama sn na ukiangalia LvG alikua akijaribu kikosi pamoja na mfumo upi atumie. Hizi sababu zilimfanya Falcao asipate nafasi ya kucheza sn! Kwahiyo hakuweza kuonyesha makali Yake ingawa ndani ya moyo wake alikua na dhamira ya kupambana hasa! Na pia labda wachezaji wenzake kwa namna moja au ingine walikua wanamuangusha! Lkn km asipoandamwa na majeruhi na pia akaweza kwenda sanjari na mfumo Wa Chelsea pamoja na wachezaji Wa Chelsea kumpa ushirikiano mzuri basi anaweza kurudisha makali Yake iwapo atakuja darajani! Lkn km ndio hivi hivi alivyo kwa sasa basi ni bora Ata ya Remy kuliko Falcao!

Falcao kwa sasa kaisha, kabakia jina. Hana tofauti na simba mzee. Jamaa alikuwa moto alipokuwa pale fc Porto na atletico Madrid. Diego Simion kwa kuujua uwezo wa Diego Costa akaamua kumwingiza sokoni. Wakapiga pesa kibao kwa PSG na kuanza kumtumia Costa ambaye tayari alishamwamini.

Man utd kwa sasa mnahitaji zaidi ya miaka mi 5 ili kuweza kushindana ulaya. Kwa sasa kikosi chenu ni kwa ajili ya FA, na Carling cup. Hiyo ligi bado mtapata shida toka kwa Chelsea, Man city, na Arsenal.
 
Falcao kwa sasa kaisha, kabakia jina. Hana tofauti na simba mzee. Jamaa alikuwa moto alipokuwa pale fc Porto na atletico Madrid. Diego Simion kwa kuujua uwezo wa Diego Costa akaamua kumwingiza sokoni. Wakapiga pesa kibao kwa PSG na kuanza kumtumia Costa ambaye tayari alishamwamini.

Man utd kwa sasa mnahitaji zaidi ya miaka mi 5 ili kuweza kushindana ulaya. Kwa sasa kikosi chenu ni kwa ajili ya FA, na Carling cup. Hiyo ligi bado mtapata shida toka kwa Chelsea, Man city, na Arsenal.

ni mawazo yako yanakaribishwa
 
manchester united have announced that their new 2015/16 shirts will be available in sizes up to XXXXL after receiving complaints.

sasa najiuliza hivi Anderson bado yupo?
 
Falcao kwa sasa kaisha, kabakia jina. Hana tofauti na simba mzee. Jamaa alikuwa moto alipokuwa pale fc Porto na atletico Madrid. Diego Simion kwa kuujua uwezo wa Diego Costa akaamua kumwingiza sokoni. Wakapiga pesa kibao kwa PSG na kuanza kumtumia Costa ambaye tayari alishamwamini.

Man utd kwa sasa mnahitaji zaidi ya miaka mi 5 ili kuweza kushindana ulaya. Kwa sasa kikosi chenu ni kwa ajili ya FA, na Carling cup. Hiyo ligi bado mtapata shida toka kwa Chelsea, Man city, na Arsenal.

Mwanakwetu Ziroseventytwo embu tema mate chini!!.... Hakuna timu ya kutisha England ukiniambia Kwenye CL sawa nakuelewa.......
 
Last edited by a moderator:
Mwanakwetu Ziroseventytwo embu tema mate chini!!.... Hakuna timu ya kutisha England ukiniambia Kwenye CL sawa nakuelewa.......

Upo sawa. Man utd kushindana ulaya kwa sasa haiwezekani. Wao wanatakiwa kushindana na vilabu vya uingereza. Msipokuwa makini LVG atawajazia wa-holanzi kwenye timu. Na hii ni Tabia za makocha wengine. Ref wakati Wenger anakuja pale Arseno na Jossee Mourinho alipokuja Chelsea. Wenga alijaza wafaransa na Mourinho alijaza wareno pale Chelsea.

Vp kipindi hili cha usajili. Kwa nini na sisi tusikusajili ukawa buluda? Najua kwa sasa unagombewa na timu mbili. Juve na Barcelona. Nakushauri uje Kyle kwa majuventini.
 
Last edited by a moderator:
BR mwehu huyo achana nae

Hahahaha!! Ila fans wa LFC mnajua kuvumilia tolerance limit yenu iko juu imezidi 100% kama ni uvumilivu wa ndoa mwauweza, sikutegemea mpaka sasa BR aendelee kushikilia makashabra ya Anfield ingelikuwa OT fans wake kungechafuka vibaya sana siku nyingi angebebeshwa virago vyake.
 
Hahahaha!! Ila fans wa LFC mnajua kuvumilia tolerance limit yenu iko juu imezidi 100% kama ni uvumilivu wa ndoa mwauweza, sikutegemea mpaka sasa BR aendelee kushikilia makashabra ya Anfield ingelikuwa OT fans wake kungechafuka vibaya sana siku nyingi angebebeshwa virago vyake.

Mwenyewe wanajiita die hard fans...ha hahahahaha! Ila niliwahi kuwashabikia japo kwa mkopo.
 
Upo sawa. Man utd kushindana ulaya kwa sasa haiwezekani. Wao wanatakiwa kushindana na vilabu vya uingereza. Msipokuwa makini LVG atawajazia wa-holanzi kwenye timu. Na hii ni Tabia za makocha wengine. Ref wakati Wenger anakuja pale Arseno na Jossee Mourinho alipokuja Chelsea. Wenga alijaza wafaransa na Mourinho alijaza wareno pale Chelsea.

Vp kipindi hili cha usajili. Kwa nini na sisi tusikusajili ukawa buluda? Najua kwa sasa unagombewa na timu mbili. Juve na Barcelona. Nakushauri uje Kyle kwa majuventini.

Hahahahahahaha!!!! Umenichekesha mpaka imebidi nikimbilie msalani maana hali ilitaka iwe mbaya......nyie mmesababisha mpaka Aleyn daddy wangu anichukie na akija mtaa wa Juve anaachia matusi au cheko tu.......mkitaka mnisajili muwepo kila siku jamvin na mnifundishe kiitaliano nisije teseka kama ADM bure!!!!

Mziki wa OT mnene akiliendeleza hatuchelewi kupiga mayowe si unaona alivyoendelea kumpanga RVP watu wakaanza shout!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!! Ila fans wa LFC mnajua kuvumilia tolerance limit yenu iko juu imezidi 100% kama ni uvumilivu wa ndoa mwauweza, sikutegemea mpaka sasa BR aendelee kushikilia makashabra ya Anfield ingelikuwa OT fans wake kungechafuka vibaya sana siku nyingi angebebeshwa virago vyake.

LFC ni team ya bonanza ndo maana wamiliki hawaoni umuhimu wa kushindana na wengine.
 
OFFICIAL:
Tom thorpe,
ben amos,
Tom cleverley,
Ryan Mcconnel,
callum evans, both released by club
WHILE
Ben pearson,
saidy janko,
joshua harrop,
sean goss,
Ashley fletcher,
lian grimshaw and
joel pereira have been offered contract.

Disappointment TOM THORPE is one of those name on the list. think we'll see him in the premeir league next season.
 
marouane fellaini has been injured (groin) in belgium training he will miss the game vs wales on friday.

get well soon big fella
 
Back
Top Bottom