Ntuzu yuko poa anafaa kwa matumizi ya binadamu..........ila sasa siri yangu nisimwanike hapa....... Lol
Hahahaaa alijipanga acha tuu fanya kumshuzia sasa uone kama asipohama jukwaa
Last edited by a moderator:
Ntuzu yuko poa anafaa kwa matumizi ya binadamu..........ila sasa siri yangu nisimwanike hapa....... Lol
Uzuri Wa mwanaume mpunga
ipo siku utazifua.. haki ya mama naapa... hahahah.. sura hz co mbaya ni sura za kazi mamitoh.. unataka tuwe ming'ao ili vitani tufe mapema!?
Hahahhajhahaha!!!! Mumy umeua bend.......nimecheka mpaka nikateleza nikaanguka
Hahahaaa ata kama b5-click muwe basi ata na ya kubusu nyie sura ngumu sana jamani...ndo maana ata wachezaji wenu wabayaaa wamekomaaa...unaonaje man u? Wachezaji ma hb ma fans ndo usiseme
Tarehe kama hii, mwezi kama huu ila mwaka ni tofauti kidogo. Muda kama huu tulikuwa na furaha kubwa sana ifike saa 20:45 tushuhudie pambano kali sana. Lakini kufika Saa 22:00 kamili wengine walipata vilio vikali sana, na donda hilo mpaka leo lipo mioyoni mwao. Je, wewe unakumbuka nini siku kama hii, na una kipi cha kusema, Unakumbuka hawa watu walibeba kombe mbele ya nani? everlenk cute b proNDO Belo Bulldog Mentor herrera Nakapanya Mourinho rubaman mazigaz visagold chebi PNC 1 jackline 1
aleyn tumevamia uzi wa watu wenyewe wanaweza kutupiga ban maana umekumbusha kilio matangani siku ile babu alitafuna ubani mpaka mwisho akajitafuna ulimi kibaya zaidi akaja kutoneshwa kidonda tena 2011mkuu umenikumbusha mbali sana hapo.messi alitoka kuwaua goli la kichwa ila aliyeanzisha sherehe alikuwa Etoo tena man u walicheza mpira kwa dakika 10 tu ila shut la kwanza la Etoo likawa goli na hapo wazee wa tiktak wakaanza gonga zao nakumbuka man walivaa jez nyeupe ss tukajua madrid