Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Attachments

  • 1432726439109.jpg
    1432726439109.jpg
    60.4 KB · Views: 60
Tehe teheeeee uvae jezi zako za blue na mimi red tukutane OT tupambane

sawa.. lakn nanihii yako vaa ya blue.. c unajua jezi yangu shingoni ina red!? ukivaa ya blue full mizuka... nakutupia mpaka uombe msamaha hapo hapo OT
 
Hahahahah.. kamanda wangu usiwaze wala nn... hawa wako tu, me naiba kidogo tu.
everlenk Zouma ndo mchezaji wetu bora kijana... vpi Zouma wako anamjua Ntuzu!?

Embu tulieni huko hamjui yuko humu humu anawaona.... Embu nisiteme BG kwa Karanga za kuonjeshwa........ Mcharo my bei biii lov u.....

Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
Embu tulieni huko hamjui yuko humu humu anawaona.... Embu nisiteme BG kwa Karanga za kuonjeshwa........ Mcharo my bei biii lov u.....

Cc Mentor

ntakuja chumbani kwako kupiga story, leo sina kazi wala nn... nikuonjeshe na karanga za asali
 
Last edited by a moderator:
Hahahah... we mwanamke hatari eti!? ila ntakufundisha kwann niliumbwa mwanaume kamili.

kombe mshachukua.....! sasa mnataka kuja kuchukua na wanawake wetu!!! haikubaliki kila siku nawaangalia tu mnavyomsumbua everlenk sasa hivi naona mnaanza kwa my cute b patachimbika hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
kombe mshachukua.....! sasa mnataka kuja kuchukua na wanawake wetu!!! haikubaliki kila siku nawaangalia tu mnavyomsumbua everlenk sasa hivi naona mnaanza kwa my cute b patachimbika hapa!!!

watt hawapendi ukame.. watt wanapenda makombe.. watt wanapenda mabao.

siku si nyingi kipute kitaanza tena, jikazeni asee.. mkishindwa tunaoa jumla.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom