Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahahah.. kamanda wangu usiwaze wala nn... hawa wako tu, me naiba kidogo tu.
everlenk Zouma ndo mchezaji wetu bora kijana... vpi Zouma wako anamjua Ntuzu!?

Zouma huyu aliemuweka Fulani mfukoni? Wakutekeleza majukumu huyu!
everlenk anamjua vzr
 

Attachments

  • 1432724703101.jpg
    1432724703101.jpg
    26.9 KB · Views: 40
Last edited by a moderator:
Poti b5-click unataka kunipora usingizi wangu cute b na everlenk?

Duh mbona unataka kunipa shida! Naona unatoa ofa za nguvu!

Wajameni ntaweza mie kuwazuia hawa viumbe dhidi ya ofa zako?

Joking brother! Ligi imekwisha hakuna tena tambo zozote bora kupiga story na wapendwa wetu marafiki km hawa!

Pamoja sn wakuu

Wew Ntuzu acha nipelekwe nje ya nchi...namchuna balaaa nambakizia filimbi aka kengelee tuu....
Alafu nakuja kukugea na wew
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa na kweli...vipi ile siku ulivyoenda kwa Ntuzu ilikuwaje maana sijaona akikufungulia uzi hahahaaaa

Mi najua kuimba si mchezo. Muulize huyo atakwambia! Na anamidomo mizuri.
 

Attachments

  • 1432725658681.jpg
    1432725658681.jpg
    7.4 KB · Views: 70
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom