Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

bahili!?? me sio bahili.. hajapatkana wa kuzitumia kisawasawa tu kama yupo na ajitokeze afaidi mema toka kwa baba nyange.. everlenk anaogopa ogopa

Hahahaha!! Huna lolote naogopa nini sasa?.......hivi cute b hawa Chelsea wana hela gani kutupoza siye watoto wa kishua toka OT matajiri wao? Mumy usidanganyike hana hela ndo maana mashart kibao full kuchonga kama baba yao.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!! Huna lolote naogopa nini sasa?.......hivi cute b hawa Chelsea wana hela gani kutupoza siye watoto wa kishua toka OT matajiri wao? Mumy usidanganyike hana hela ndo maana mashart kibao full kuchonga kama baba yao.

Nawaelewa hawa everlenk hawanipi tabu...
The bluuuzz maneno mengi halafu pesa hamna na ndo maana wanatushangaa sisi hela tunazo spend
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!! Huna lolote naogopa nini sasa?.......hivi cute b hawa Chelsea wana hela gani kutupoza siye watoto wa kishua toka OT matajiri wao? Mumy usidanganyike hana hela ndo maana mashart kibao full kuchonga kama baba yao.

Eeeh me napenda watoto wa kishua.. Leo unataka kusema huogopi!? au unapata ujasiri mbele za watu diah.!? matumizi yenu kwasiku hayazidi 450K afu mnanitisha.. cwez kupigika Mentor yupo.

we #KTBFFH ..
 
Last edited by a moderator:
Hahahahhahahahaaha kuna mtu nilimuuliza akawa ananisimulia kuwa ile siku alikuwa kuwa alivokuwa anaangalia mpira ghafla akajikuta taratiiiiibu anaegemea muembe huku akishindwa kuamini kinachoendelea.

na ambavyo nilikua simpendi messi basi siku hyo ndio kabisaaa hata ile 2% iliyokua imebaki nikaitupia recycle bin, iniesta +xavi, dah!
hebu potezea bhana tufanye kama haijawah tokea
 
Nawaelewa hawa everlenk hawanipi tabu...
The bluuuzz maneno mengi halafu pesa hamna na ndo maana wanatushangaa sisi hela tunazo spend

AbraMoney boyz.. can i offer both ov you our new kits..!? mna spend nn nyinyi!? kuna offer ya fuel kwenye gari zenu wiki mbili.. mpo tayari!??
 
Last edited by a moderator:
Wewe mwoga kinoma...ile siku nakwambia unisindikize njia panda ulitoka mbio apo nikakukata maksi

yale masharti yalikua noma diah.. afu pia ni kutegana kule.. unazan me ningetoka kapa pale!?
 
Poti b5-click unataka kunipora usingizi wangu cute b na everlenk?

Duh mbona unataka kunipa shida! Naona unatoa ofa za nguvu!

Wajameni ntaweza mie kuwazuia hawa viumbe dhidi ya ofa zako?

Joking brother! Ligi imekwisha hakuna tena tambo zozote bora kupiga story na wapendwa wetu marafiki km hawa!

Pamoja sn wakuu
 
Last edited by a moderator:
Wewe mwoga kinoma...ile siku nakwambia unisindikize njia panda ulitoka mbio apo nikakukata maksi

Mweeeeeeeeeh. Alikusindikiza kwa huo usafiri?
 

Attachments

  • 1432724292524.jpg
    1432724292524.jpg
    59.7 KB · Views: 44
Poti b5-click unataka kunipora usingizi wangu cute b na everlenk?

Duh mbona unataka kunipa shida! Naona unatoa ofa za nguvu!

Wajameni ntaweza mie kuwazuia hawa viumbe dhidi ya ofa zako?

Joking brother! Ligi imekwisha hakuna tena tambo zozote bora kupiga story na wapendwa wetu marafiki km hawa!

Pamoja sn wakuu

Hahahahah.. kamanda wangu usiwaze wala nn... hawa wako tu, me naiba kidogo tu.
everlenk Zouma ndo mchezaji wetu bora kijana... vpi Zouma wako anamjua Ntuzu!?
 
Last edited by a moderator:
Ohhh!!! Bado mnadalaliana mumy? Hana jeuri hiyo utamfanya awe maskini bure aje akuanzishie na Uzi hapa......

Hahahahah... ukiona nimemwanzishia uzi ujue wa kumsifia kwa kile alichorithi toka kwa mama yake.. na jinsi anavojua kukitumia.. karibuni siamini kama nyie wa2 mtaniweza.. je wakija Mentor Ntuzu na kunguru mjanja
#KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom