Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
unajua madrid hata wakitoa hyo 20 itakua ni bahati yetu maana de gea ana msimu mmoja tu aondoke bure, na contrao alileta pozi mwenyewe kipind tuna mtaka akaweweseka na jina kubwa la madrid, leo hii kaona anasugua benchi anaanza kuongea eti "everybody know i love manchenster utd, is the big club and my dream is to play for utd one day"
Coentrao,Khedira walikuwa wachezaji wa Morinyo walipaswa kuondoka baada ya Jose kuondoka,haya mambo alikuwa anayaweza SAF.Moyes ndio alimtaka Coentrao akamkosa Madrid walete hela sio kuleta hilo garasa