Leo man u tunapigwa goli 2 mtungi.
Leo man u tunapigwa goli 2 mtungi.
Hahahaaa na wew ni man u? Afu unakiri tutafungwa? Hahahaaa na tukifunga tunakutenga
Mashetani Leo wakipigwa chache ni tatu.
Afu hii ndo mech ya mwisho kwa D da gea? Mmhh
Falcao akiendelea kudondoka , kocha amtoe tuu...
Man U imekosa strikers wakubadilisha matokeo, sioni matokeo kwa kumtumia Falcao. Kumtegemea Fellain kufunga wakati wapo watu wanaolipwa fedha nyingi kwa kazi hiyo ni patapotea.