Umesahau ulikuwa unatamba kuwa Utd hawawezi hata kupata draw na Spurs, kuwa Utd wanajua kuwa Majogoo lazima yashinde Anfield.... nikumbushe ikawaje matokeo?
Sasa umeanza kutuambia mechi za ugenini tunazocheza.... hivi unajua tarehe 10 mwezi ujao mnacheza wapi na nani? hahahhaha
Ku win kwenu kumeisha
Mnarudi sasa kwenye nafasi yenu ya mwaka jana
Vita vya panzi..............................
..(Chelsea)
Chelsea hawezi nifunga,uwezo wa Chelsea umepungua sana na Man U alinifunga sababu ya SG
Kumfunga kibonde Man City kuliwadanganya sana
View attachment 246352
"Winga machachari wa klabu ya PSV Eindhoven, Memphis Depay amewasili jijini Manchester kwa ajili ya kuanza mazungumzo na klabu ya Manchester United. Depay ametua jijini Manchester Mara baada ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora wa ligi ya Uholanzi.
View attachment 246353
Depay anategemewa kusainiwa kwa ada ya £25Mil.
View attachment 246354
© http://metro.co.uk/2015/04/23/memph...-ahead-of-manchester-united-transfer-5164555/
He is sooo good..!!Huyu kijana ni mwiba dili likifanikiwa tutakuwa tumelamba dume.
He is just 21 years na anatisha mbaya.
Check vitu vyake hapa chini
https://youtu.be/MiRW90BBv_o
Hii ndio ingekuwa jezi nzuri
Kuna habari kuwa Ilkay Gundogan amekubali kutua Man United
Kuna habari kuwa Ilkay Gundogan amekubali kutua Man United
Hii ndio ingekuwa jezi nzuri