Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Mkuu hebu nikumbushe hiyo tar 10 sio watakuja darajani?
 
Chelsea hawezi nifunga,uwezo wa Chelsea umepungua sana na Man U alinifunga sababu ya SG

Kumfunga kibonde Man City kuliwadanganya sana

Chelsea ni kibonde,
Man United ni kibonde,
Man City ni kibonde,
Liverpool ni kibonde zaidi
 

Huyu kijana ni mwiba dili likifanikiwa tutakuwa tumelamba dume.
He is just 21 years na anatisha mbaya.
Check vitu vyake hapa chini

https://youtu.be/MiRW90BBv_o
 
Hii ndio ingekuwa jezi nzuri
 

Attachments

  • 1429905848154.jpg
    47.9 KB · Views: 108
Kuna habari kuwa Ilkay Gundogan amekubali kutua Man United

Yeah mkuu...!! Ile time Ya Woodward Kuanza Kufanya Yake. Habari Iliyoshika Kasi Hivi Punde Katika Sources Mbalimbali Za Kuaminika Kama Sky Sports Na Nyingine Za Ujerumani Ni Kuwa Ilkay Gundogan Yuko Karibu Kujiunga Na Man United.
#WatchThisSpace

#GGMU
#WakaangaSumu wanaweza kufa kwa presha hiyo next season 🙌🏽🙌🏽
© http://www1.skysports.com/football/news/11667/9820923/ilkay-gundogan-close-to-manchester-united-move
 
Kuna habari kuwa Ilkay Gundogan amekubali kutua Man United

Nimeisoma kwa sky sports sasa hivi ila clause deal haijawekwa wazi bado. Pia clyne nae yupo kwa mazungumzo na united. Hummels next week ataanza mazungumzo ila sasa hivi wakati tunaongea Depay yupo kwenye mazungumzo na United.

Pundits wanasema endapo deals zote zitakubalika basi squad ya United itakuwa kama ifuatavyo:



Binafsi nitafurahi rooney akawekwa pale mbele na Ikay akapata msaidizi cause he's too prone to injuries
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…