Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Garry Neville ktk mahojiano Yake kupitia kituo cha sky sport amekiri kua Man U imekua inapitia mitihani mikubwa km vile Wa LFC Na Man City....lkn kwenda Stanford bridge ktk timu bora kabisa nchini England ni mtihani mkubwa sn ambao Man Utd inakwenda kukutana nao....

Sasa km huyo nguli wenu Wa Utd anakubali sembuse mie maganga Wa Bariadi kuwabishia nyie hoja zenu?

Chelsea kiboko Mkuu.

Mtihani unaweza kuwa mgumu zaidi na ukapita tu
 
ImageUploadedByJamiiForums1429193851.154060.jpg

Hapa utaona zaidi Ntuzu ana mtihani mgumu kuliko sisi. Nadhani ubingwa unaning'inia shimo la choo. Man City ndo kamaliza kibarua chake cha mechi ngumu. Arsenal najua huu ndo muda wa kupiga kila alie mbele yake. Nafasi ya nne ndo ubingwa wake.

Kwahyo Ntuzu utapoteza mechi yetu na ya arsenal. Waliobaki unaweza kupita tu.
rubaman everlenk
 
Last edited by a moderator:
Unayajua mafuta ya Simba wewe.....yana kz gani? Muulize kitwala au huyo Earthmover....shetani halikatizi hapo....




Unayajua mafuta ya Simba wewe.....yana kz gani? Muulize kitwala au huyo Earthmover....shetani halikatizi hapo....




Unayajua mafuta ya Simba wewe.....yana kz gani? Muulize kitwala au huyo Earthmover....shetani halikatizi hapo....

Hamna lolote labda mtufanyie hujuma mcheze na refa pia............ .......
 
Last edited by a moderator:
Naona umejibu kwa tahadhari

Ngoja nikwambie kuhusu United na kwann tunasema tutakupiga?

1. Sisi sio favorite wa kuchukua kombe, so hatuna cha kupoteza. Kwanza tulianza league kama underdogs mkisema united ataishia nafasi ya saba kama kawaida yetu. Management ya united ikamwambia Van Gaal kuwa ili tusipoteze 30% ya deal ya addidas basi mwaka huu tuingie top 4 kwanza. Na hili ndo lengo letu toka mwanzo.

2. Mechi yenyewe: nyie mtakuja na tension na panic kwenye hii mechi ambayo mtataka kwa udi na uvumba mshinde, so hakutakuwa na umakini hapo ninaona watu wa kucheza kwa kupanic wakati sisi tunakuja kucheza mpira, tutatulia tuchukue ushindi.

3. Nafasi ya kuchukua kombe: sisi tuna 30% ya kuchukua kombe endapo tukashinda mechi zote. Huku tukitegemea wa juu wapoteze na kudraw mechi nyingi sana. Arsenal ana nafasi ya 50% na Chelsea ana 70% percent. Mechi ya sisi na nyie ndo itapunguza au kuongeza nafasi yenu ya kuchukua ubingwa. Kwahyo mjipange sana.

4. Nafasi ya wachezaji, mna wachezaji sana ambao ni very average, na wachache ni wale world class. Benchi lenu lipp very narrow for choices wakati sisi tumejaza wachezaji lukuki ambao ukawachukua na wakafanya kitu uwanjani.
Ntuzu usijiamini sana kwanza kushinda mechi yetu na kuchukua ubingwa. Sasa hivi race imekuwa too tight my bro si kama unavyosema na mbaya zaidi siku hizi kadiri mnavyokwenda mnazidi kuchuja na kuvurunda. Sijui wachezaji wanachoka? Au tatizo ni nini brother!?

Usishangae mwisho wa siku akachukua hata man city au arsenal. Unakumbuka ule mwaka ambao man city walichukua ubingwa dakika ya 93? Kwa bao la aguero? Wakati tulikuwa tumewapita almost points 10 na wakaja kutupita almost points 10 mwisho wa siku wakaja kubalance.
 
Last edited by a moderator:
Hamna lolote labda mtufanyie hujuma mcheze na refa pia............ .......

Kuna uwezekano mkubwa wa LvG kumuweka Phil Jones pacha Wa Carrick jmosi ili kuweka nguvu kwa kati hasa baada ya kuona Chelsea kila upande iko imara...

Tayari LvG anaweweseka
 
Bhageshi nisiseme sn bhana...nitumie nafasi hii kukuribisha darajani Na hiyo timu yako uone km hiyo spirit ya ushindi km itaonekana....

Tangu msimu uliopita mpk huu tunakwenda mwishoni Chelsea Fc haijawahi kufungwa Na manyanga yoyote ile ya top four Zaidi ya vitimu vidogo Na spurs....sasa sijui nyie mnaanza kutukana mamba ingali bado hamjavuka mto?😱😱😱

Ktk mechi ambazo tumecheza vizuri hata pale ambapo hatukufanikiwa kutoka na point 3 ni hizi mechi na timu kubwa.
Ktk timu hizi
Chelsea
Arsenal
Man City
Liverpool
Southampton
Spurs.
Ni Man C na Southampton tu ndiyo tumegawana nao point 3(wametupiga nasi tumewapiga)
Kwa hiyo utaona ktk game 5 tulizopoteza 3 tumefungwa na Swansea nje ndani na Leicester City.
Wewe ulichukua point 1 tena ukiwa umepaki lory game ya kwanza, wakati huo vijana wako wakiwa na meno makali kwelikweli.
Sasa jmos tunakuja tukiwa tayari tunaijua timu inayoanza si kama kipindi kile tunafanya majaribio ya akina Wilson, blacket, januzaj, perreira etc
Tunavunja Daraja no matter hamjafungwa hapo Darajani
 
View attachment 243975

Hapa utaona zaidi Ntuzu ana mtihani mgumu kuliko sisi. Nadhani ubingwa unaning'inia shimo la choo. Man City ndo kamaliza kibarua chake cha mechi ngumu. Arsenal najua huu ndo muda wa kupiga kila alie mbele yake. Nafasi ya nne ndo ubingwa wake.

Kwahyo Ntuzu utapoteza mechi yetu na ya arsenal. Waliobaki unaweza kupita tu.
rubaman everlenk


Tufanye nimepoteza mechi yenu Na ya Arsenal bado nitakua naongoza ligi kwa point ngapi? Alafu ukumbuke Nina kamchezo kamoja pending hako nikishinda alafu Na mchezo Wa LFC nipoteze bado nitakua kilele kwa point moja....Na michezo mingine yote nishinde iliyobaki...bado nitakua bingwa tu....
 
Last edited by a moderator:
Kuna uwezekano mkubwa wa LvG kumuweka Phil Jones pacha Wa Carrick jmosi ili kuweka nguvu kwa kati hasa baada ya kuona Chelsea kila upande iko imara...

Tayari LvG anaweweseka

Haya maneno yako ya kujifariji ndio yanafikia kikomo... jumamosi hiyo ndio inawadia

Jitayarishe kisaikolojia kuwa tayari kupokea matokeo ya kuchezea kichapo..... ila kuna kitu kimoja utacho enjoy siku hiyo .... ni kuona total football iliyoongezewa na attacking football ya timu bora na kubwa Man Utd
 
Ngoja nikwambie kuhusu United na kwann tunasema tutakupiga?

1. Sisi sio favorite wa kuchukua kombe, so hatuna cha kupoteza. Kwanza tulianza league kama underdogs mkisema united ataishia nafasi ya saba kama kawaida yetu. Management ya united ikamwambia Van Gaal kuwa ili tusipoteze 30% ya deal ya addidas basi mwaka huu tuingie top 4 kwanza. Na hili ndo lengo letu toka mwanzo.

2. Mechi yenyewe: nyie mtakuja na tension na panic kwenye hii mechi ambayo mtataka kwa udi na uvumba mshinde, so hakutakuwa na umakini hapo ninaona watu wa kucheza kwa kupanic wakati sisi tunakuja kucheza mpira, tutatulia tuchukue ushindi.

3. Nafasi ya kuchukua kombe: sisi tuna 30% ya kuchukua kombe endapo tukashinda mechi zote. Huku tukitegemea wa juu wapoteze na kudraw mechi nyingi sana. Arsenal ana nafasi ya 50% na Chelsea ana 70% percent. Mechi ya sisi na nyie ndo itapunguza au kuongeza nafasi yenu ya kuchukua ubingwa. Kwahyo mjipange sana.

4. Nafasi ya wachezaji, mna wachezaji sana ambao ni very average, na wachache ni wale world class. Benchi lenu lipp very narrow for choices wakati sisi tumejaza wachezaji lukuki ambao ukawachukua na wakafanya kitu uwanjani.
Ntuzu usijiamini sana kwanza kushinda mechi yetu na kuchukua ubingwa. Sasa hivi race imekuwa too tight my bro si kama unavyosema na mbaya zaidi siku hizi kadiri mnavyokwenda mnazidi kuchuja na kuvurunda. Sijui wachezaji wanachoka? Au tatizo ni nini brother!?

Usishangae mwisho wa siku akachukua hata man city au arsenal. Unakumbuka ule mwaka ambao man city walichukua ubingwa dakika ya 93? Kwa bao la aguero? Wakati tulikuwa tumewapita almost points 10 na wakaja kutupita almost points 10 mwisho wa siku wakaja kubalance.


Mi sitaki nikujibu hoja zako zote ambazo umezisema hapo...nataka uangalie hii hesabu yangu ndogo tu..

Chelsea bado ina michezo saba tofauti ni Man U...sasa tufanye hivi hiyo michezo iliyobaki wewe Man U utufunge Na Arsenal atufunge Na LFC pia atufunge...alafu michezo mingine minne yote tushinde....jumla tutakua Na point 85 Na arsenal akishinda michezo yote 6 ukiwemo na wenu jumla atakua Na point 84 Na ManU akishinda michezo yote ukiwamo Na Wa arsenal atakua Na point 83. Kwa mazingira Na hesabu hizo chelsea bado ni bingwa alafu ktk hizi timu zote kubwa tatu....ManU Arsenal Na LFC zote haziwe kumfunga Chelsea...kuna zingine tutapata sare Na kushinda alafu hizo ndogo zote tunashinda.


Mchezo wetu Na QPR ulikua ni mihimu sn ktk kukamilisha mahesabu ya kuwa bingwa.
 
Last edited by a moderator:
Haya maneno yako ya kujifariji ndio yanafikia kikomo... jumamosi hiyo ndio inawadia

Jitayarishe kisaikolojia kuwa tayari kupokea matokeo ya kuchezea kichapo..... ila kuna kitu kimoja utacho enjoy siku hiyo .... ni kuona total football iliyoongezewa na attacking football ya timu bora na kubwa Man Utd

Asante Mkuu...
 
Mitaa ya Stanford bridge hali siyo shwari kabisa.
Mou halali akiwaza nani amkabe nani maana Man U siyo timu ya mtu mmoja.
Hadi sasa hajajua nani atafunga na kwa wakati gani.
Wana Man U tuwakumbuke wenzetu the blues kwenye maombi wasije tutoka kwa pressure na mashinikizo ya damu baada ya kuona timu yao ikipigwa nyingi.

Jaribu kufuatilia record ya Morinyo vs ya Manure tangia Morinyo akiwa fc poto. alipohamia Chelsea. Madrid na baada ya kurudi tena Chelsea alafu baada ya hapo urudi hapa utupe jibu.
 
Jaribu kufuatilia record ya Morinyo vs ya Manure tangia Morinyo akiwa fc poto. alipohamia Chelsea. Madrid na baada ya kurudi tena Chelsea alafu baada ya hapo urudi hapa utupe jibu.


Ukifatilia wachambuzi Wa soka duniani....mpk sasa wengi wanamuona Mourinho kua ni bingwa Wa mbinu Na mikakati hasa km ligi inaelekea mwisho Na anakutana Na game kubwa namna hii....

Na wengi wanasema Chelsea kupata sare hilo swala liko ktk uwezo wao kwa asilimia 100 Na si ManU kuishinda Chelsea.

Kwahiyo Mkuu hawa kina kitwala unawaacha waongee tu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna uwezekano mkubwa wa LvG kumuweka Phil Jones pacha Wa Carrick jmosi ili kuweka nguvu kwa kati hasa baada ya kuona Chelsea kila upande iko imara...

Tayari LvG anaweweseka

Hamna ki2 kama hcho lvg hana michezo ya kujihami kama mou, Na kikoc kitakuwa vile vile2, hakuna mabadiliko labda Jones apumzike ili rojo acheze
 
Back
Top Bottom