Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaha!!! Umeona umeshindwa umeamua kuomba usaidizi wa b5-click?? Bora yetu siye kuliko nyie madivers, parking areas wazur, wanamieleka wazur na wengine waleeee tumuulize yule nani wa PSG???? Hahahaha staki nikuumize mtani wangu ......yaishe bana...... Lol.
 
Last edited by a moderator:

Ni ushauri tu wakitaka wachukue wakikataa tusilaumiwe.
 

Wanaongea wakiwa chumbani lakini ndiyo hivyo wameshaharibu kwenye suruali. Jamaa ndiyo huyo anagonga kwa mlango.
 

Hahaha mtani siku hiyo ukinifunga si ntapata tabu mie kwa maneno yenu? Maana duh....

Anyway ndio mambo ya mpira tambo za hapa na pale lazima ziwepo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu tueleze humu Chelsea miaka ya 2000 mlikuwa mnajazana vijiweni au mitandaoni kama hivi?
 
Last edited by a moderator:

Mkuu nafuatilia uchambuzi wako mara kwa mara, ninapenda unavyoongea kiufundi na si kiushabiki.
 

Unataka kutuambia humu FA na Arsenal Fellain alikuwepo?
 
Hahaha mtani siku hiyo ukinifunga si ntapata tabu mie kwa maneno yenu? Maana duh....

Anyway ndio mambo ya mpira tambo za hapa na pale lazima ziwepo.

Hahahaha!! Mtani usijali. ...tunajaza jukwaa hapa......
 
It's not easy beating the goalkeeper in a one-on-one situation. It's like going to a buffet and seeing all the things you like laid out there and you only have one stomach. Do you pick the fish or the chicken? OMG, it that Nyam Chom? And those ribs? Wolololo. What about room for dessert?"
It requires a calm head, confidence and a 'Do Not Panic' sign. That's how Mata did it against City. He made the run and Rooney placed the ball on his feet. He did not waver. He saw the goal, he nutmegged Joe Hart and ... Orgasmic! This morning, Mata said he was filled with adrenalin for that run, that win, that goal. You can read his blog by clicking on the link below.
--- Already looking forward to what he'll do at Chelsea. Do you think Mata will score against his former club? ‪#‎believe‬ ‪#‎GGMU‬ ‪#‎uniteddamu‬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…