Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yenu imeshachoka na kocha wenu hana plan B kizuri ni kwamba mlishinda game nyingi mwanzo, Man United kwa sasa timu imetulia idara zote. Young, Mata, Rooney, Fellaini, Herrera wote wanafunga magoli

Unaizungumzia utd hii ambayo..
Da gea anafanya kazi za mabeki.. Mabeki wamegeuka viungo... Akina Fellaini ndo wamekua washambuliaji... Washambuliaji wamekua mashabiki... Akina falcao na RVP kazi kushagilia magoli ya mabeki... Mashabiki wenyewe mnafanya kazi ya van Gaal... Van Gaal kazi kubeba mavitabu makubwaaa kama anafundisha udaktari...

Hahahahahah... Karibuni darajani wazeee
 
everlenk usisome hii post lol.
b5-click umenichekesha sn aiseee
 
Last edited by a moderator:
Sasa huyo Fulaini ni top mid za EPL au mmelewa kwa kuwafunga hao vibonde Spurs, LFC na Man city?

We njoo darajani uone moto!
Mkuu sio nyie mliokuwa mnasema hatutoki kwa hawa mnaowaita vibonde......leo hii....
 
Mkuu sio nyie mliokuwa mnasema hatutoki kwa hawa mnaowaita vibonde......leo hii....


Uliwahi kuona Mimi nasema hivo? Hebu kagua post zangu huko nyuma alafu ulete hapa unionyesha!

Mi ninachokijua mnaweza kuwafunga hao wengine lkn sio Chelsea! Mkifika kwa Chelsea lazima mjue mnapigwa!
 
Uliwahi kuona Mimi nasema hivo? Hebu kagua post zangu huko nyuma alafu ulete hapa unionyesha!

Mi ninachokijua mnaweza kuwafunga hao wengine lkn sio Chelsea! Mkifika kwa Chelsea lazima mjue mnapigwa!


Kwa hiyo homa ya Chelsea vs Man Utd inaanza kupanda au nini?
 
Uliwahi kuona Mimi nasema hivo? Hebu kagua post zangu huko nyuma alafu ulete hapa unionyesha!

Mi ninachokijua mnaweza kuwafunga hao wengine lkn sio Chelsea! Mkifika kwa Chelsea lazima mjue mnapigwa!
Mkuu mechi ya city ulisema tunafungwa
 
Niletee ushahidi bhana!
[quote name=&quot;everlenk&quot; post=12414964]Nafanya kazi ya ulinzi nililala nikaamka hii ndo mida ya wezi inabidi niwe macho kweli kweli,lol[/QUOTE]<br />
<br />
<br />
Heeee kweli aisee....mida hii wanajua kua watu wamelala fofo. Ngoja nikupigishe story huku ukiwa unalinda.<br />
<br />
City wanakuja kukufunga j2 na uzuri michezo ya j2 tunaanzia Wa kwetu then tunakuja wenu!<br/

Rejea post 3036
 
[quote name=&quot;everlenk&quot; post=12414964]Nafanya kazi ya ulinzi nililala nikaamka hii ndo mida ya wezi inabidi niwe macho kweli kweli,lol
<br />
<br />
<br />
Heeee kweli aisee....mida hii wanajua kua watu wamelala fofo. Ngoja nikupigishe story huku ukiwa unalinda.<br />
<br />
City wanakuja kukufunga j2 na uzuri michezo ya j2 tunaanzia Wa kwetu then tunakuja wenu!<br/

Rejea post 3036[/QUOTE]

Hahahahaaaaa that was just a story with my friend everlenk....km unavoona story zenyewe zilivokua hapo. Nilirusha hilo neno km utani tu ktk kumpigisha story huyo mdau!
 
Last edited by a moderator:
Unasema haya ili usimuangushe Dada yako everlenk

Tarehe 18 sio mbali nawakaribishs darajani wote siku hiyo.

Najua baada ya Man U "pick up" unahofu sana na ubingwa wako sasa kwani unajua MAJOGOO na striker akiwa Drogba yanakufunga Darajani

Wote hapa sasa wanajua unayaogopa sana Majogoo ya Melwood
 
Last edited by a moderator:
Najua baada ya Man U "pick up" unahofu sana na ubingwa wako sasa kwani unajua MAJOGOO na striker akiwa Drogba yanakufunga Darajani

Wote hapa sasa wanajua unayaogopa sana Majogoo ya Melwood


Hahahaaa huu mchezo hauko mbali Mkuu! Kua na subira Mkuu...maana tupo kwenye maandalizi makali Mkuu!
 
Mata ana nini huyu mpk apewe lawama? Huyo anawafaa nyie tu.

Weee bana Ntuzu kwa kweli hapo sikuelewi kwa kweli;Matta katupia kila big games kwa kipindi hiki!

Fellain kawa mtamu Mcharo anasubiri toka Man U hadi team yake ya Taifa

Ifikie hatua tukubali,kwa kiwango cha Man U cha sasa kwa mara ya kwanza msimu huu Chelsea anaingia dimbani Jumamosi kama "under dogs"
 
Last edited by a moderator:


Haya ni maneno tu ata kwenye khanga yamo...

Nachotaka kukuambia huyo Mata na Fulaini utawaonea huruma siku hiyo...wewe lazima uwaheshimu kwasababu wamekufunga...lkn kwa Mimi nawaona Wa kawaida tu.
 
Last edited by a moderator:
Haya ni maneno tu ata kwenye khanga yamo...

Nachotaka kukuambia huyo Mata na Fulaini utawaonea huruma siku hiyo...wewe lazima uwaheshimu kwasababu wamekufunga...lkn kwa Mimi nawaona Wa kawaida tu.

Man U ya hovyo hovyo ya beki akina Blackett hukumfunga ndiyo awe Man U huyu aliye pick up ?

Kumbuka kipindi hicho Chelsea alikuwa kwenye kiwango kikubwa sana cha Costa na wenzake!Nimewaona na Stoke na QPR aibu tupu!Mnategemea makipa wafanye makosa mfunge

Drogba hawezi msunbua beki Jones hata wacheze dakika 300»»»fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…